Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Kweli. Ukimpenda mtu ukitaka muwe marafiki usiweke mapenzi mtadumu. Tatizo 80% ya wanaume wanakutanaga na wanawake kwa lengo la kunyanduana. Mimi nilioonana nao ilikua kwa ajili ya urafiki. Nashukuru tuko marafiki na tunaheshimiana vizuri kabisa. Waliotongozwa wakakataliwa wamekubali ukweli maisha yanasonga. Waliovumilia sura yangu mbaya wapo tuko marafiki mpaka sasa. Kikubwa ni kuangalia huyu anaandikaga nini. Kuna uhusiano mkubwa sana wa anachokiandika mtu huku kuhusu wengine na alivyo nje. Wale watu wa kudis dis kila kitu hata nje ya hapo atadia tu
Hahahaha, raha ya kibuti ukikubali ndio kinapendeza
 
kuna Yule anajiita Madame B daah aseee .ukija kumwona daaah waweza kimbia
Kwanini ukimbie mkuu, vtu vingine huwa ni changamsha genge Mimi husoma comments za MTU na kupata maarifa ya appearance, sijui nimuwazie yuko vzuri kiuchumi huwa siyapi nafasi
 
Hahaaaa makubwa haya hivi unavutiwaje na avator ya mtu eti ndo upendo kah kwani mtu akiwa na hyo sura kajiumba yeye si ndo alivozaliwa you can't change it umba wa kwako mzuri, mi ndo mana hushangaa watu humu anataka akuone sura na picha ili iweje. JF ni mtandao mzuri ukiutumia positive wengine tumekutana na watu humu twaheshimiana no utoto sijui sura, status tumekuwa wote Mengi.
Sasa si uweke sura yako halisi ili watu wakujue ulivo kuliko kubabaisha na avator za uongo
 
Back
Top Bottom