Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,379
- 88,735
Hahahahhaaa.. natania. Nilikua namjaza tu
Namimi naomba ubuyu![]()
Namimi naomba ubuyu![]()
Naona aibu MimiMsichojua ni kuwa ID za kike nyingi ambazo ni maarufu wengi wao ni manungaembe sura mbovu maumbo kama biringanya matumbo yamening'inia mpaka yameziba kinena cha bibi miguu fito
Kuna mmoja maarufu sana humu ni shapeless balaa ana pasi ya adabu lakini anavyojishebedua
Maarufu wengi humu ni magarasa ukitaka vyombo tafuta ID zisizo maarufu hakika utafurahi lakini maarufu utakutana na midume myenzio yenye k
Bamdogo shikamooNaogopa kumsema mtu kwa sura yake saana naona kama namdhalilisha.
Mfano kama nimekutana na mwanamke humu hata kama nimboovu...akinitumia picha namsifia tena saana.
Hakuna jambo mbaya kama kumwqmbia mtu u mbaya.
Itamuuma.
Hiyo haitoshi mremboNashukuru mkuu.
Basi utataka kujifanya hujawahi kuniona. Mscheeww. Hii avatar nafanana nayo kiasi. Usitake watu waseme mbona wewe una jojoba tank hapa kwenye avatar halionekani








Wewe sio wote na mmkome mnawatakaga hao halafu mnaishia kubaya kabisa yaone mkishindwa jamani nimetapeliwa nimehivi vile komeni .
Na wengine yanawaoa hawajui kupika wala kutunza mume wao ni cmu nakujiremba wewe umepauka kama nini mtakoma.
Kaeni na shida zenu.
Msituletee wengine tunaohata sisi presha na stress zetu sio zenu kila mara hili lile kwaajili ya warembo ai .
taratibu kidogo usipige kelele mbona povu jingi mama vipi
Nakazia mm sasa hivi kuweka avatar za watu sitaki kabisa nitajiweka mwenyewe tu na hivi ninavyofanana na sura ya baba angu sitaki shidaUjumbe tumeupata.. ndo maana mimi sitaki kuwakonfyuz wapenzi watazamaji naweka avatar yangu au ninayo fanana nayo siku hizi. Niliweka avatar ya mdada mweusi siku mtu kaniona akaniambia alijua na mimi nitakua mweusi kama ile avatar. Nikasema sasa yale mambo ya kuwaaminisha watu mimo beyonce kumbe ebitoke yaishe.
Hiyo haitoshi mrembo
Mwingine huyu mji umemfunza adabu
Anzia hapa hapa huko nyuma hakufurahishiKuna haja ya kusoma comments zote au nianzie hapa hapa ??
Ni bora hata muwe mnaweka vitu vingine hatatu sura ya image ya kondoo, ila mnavyoweka za kina amber rose mnadraw attention zetu na personalization ni kosa tutawapeleka mahakamani





![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
taratibu kidogo usipige kelele mbona povu jingi mama vipi
Kama umeelewa alichoandika basi utakua unajua lugha nyingi sana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
taratibu kidogo usipige kelele mbona povu jingi mama vipi
kajua kunichekesha asee!...mi nimecheka hadi mbavu zinaniuma!![]()
Nimecheka kizembe wallah
Kama umeelewa alichoandika basi utakua unajua lugha nyingi sana
inaonekana kapanic kweli kweli si mchezo mpaka amekosea maneno ila kwa kua kichwa chepesi kuelewa nimemwelewa vizuri tuAnatufanyia operation bila ganzi@kajua kunichekesha asee!...mi nimecheka hadi mbavu zinaniuma!


