Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,146
- 190,609
Ndio raha ya mpira hioHahahaha,Mpira pasi
Ndio raha ya mpira hioHahahaha,Mpira pasi
Hahaha....waendelee kutafuta sasa.Sema wataalamu wanakwambia kupata hivo visu huku ni kama unavyotafuta dhahabu shughuli yake
Wafupi wapogoro na waruguru bana, mzigua mfupi ni bahati mbaya tu na sijapata hiyo bahati ya kukutana nae ni mizigo tu wanakua wamening'iniza kama wahaya na wachaga hiviHujui tunakuaga wafupiii
Tunakutana lini nasie?Hello Daby
Mr. Cool Man
Hapana mama sijashtuka nimeshangaa tu .vitu vingine vigeni kwanguHahaahhaaa.. mbona mnashtuka sana
HahahahaHahahaha ukalale ukue
sijakushambulia
Nimeelezea tu inavyokera kuweka avatar tamu halafu unakutana na sura ya jiwe inaumiza sana namfeel mtoa mada hali aliyomo kwakweli
Asante. Sio kwa mchambo huo looh. Umetuvua nguo wenzako
Hahahaha ukalale ukue
sijakushambulia
Nimeelezea tu inavyokera kuweka avatar tamu halafu unakutana na sura ya jiwe inaumiza sana namfeel mtoa mada hali aliyomo kwakweli
Kuna wanaume wanasikitisha mno jinsia zao bora wangekuwa wa kike sasa ukijuana naye member wengine inatuhusu nini?Halafu sasa wanajuana kumbe. Nikajua mtu tu hamjui
Ndo ukweli magarasa kibao humu mnataka niwabebe??? Hambebeki
Hahahaha, eti panga butuHapo hata mimi naungana na mtoa mada. Kwanini uwekw avatar ya kuvutia wakati hufanani nayo hata kidogo. Halafu ukianza kuponda wanaume sasa. Watu wakiangalia avatar na majigambo wanajua hiki kisu. Kumbe panga butu
Hapana mama sijashtuka nimeshangaa tu .vitu vingine vigeni kwangu
Hahahaha, eti panga butu
Naogopa kumsema mtu kwa sura yake saana naona kama namdhalilisha.Ukishamalizana nao hao nipasie ID zao niruke nao, wanaume hatutupani bwana kizuri kula na nduguyo!
Huu ni ukweli mchingu ujue Haya girlMsichojua ni kuwa ID za kike nyingi ambazo ni maarufu wengi wao ni manungaembe sura mbovu maumbo kama biringanya matumbo yamening'inia mpaka yameziba kinena cha bibi miguu fito
Kuna mmoja maarufu sana humu ni shapeless balaa ana pasi ya adabu lakini anavyojishebedua
Maarufu wengi humu ni magarasa ukitaka vyombo tafuta ID zisizo maarufu hakika utafurahi lakini maarufu utakutana na midume myenzio yenye k
Mambo kama haya unafikiri hata huwa nayachukua...I know ni jokes.Hio ni complimentary mbona, usiwaze mzee af sina michongo hio unayodhani mshua!
Hapo hata mimi naungana na mtoa mada. Kwanini uwekw avatar ya kuvutia wakati hufanani nayo hata kidogo. Halafu ukianza kuponda wanaume sasa. Watu wakiangalia avatar na majigambo wanajua hiki kisu. Kumbe panga butu
Hadi point hii ashajulikana... Watu wanambwembwe, kizuri chajiuza kibaya lazima kijizururisheKilichonisikitisha ni mada zake za mikogo humu Jeiefu.