Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Majuto: Sitatongoza mtandaoni tena

Unashindwaje bana kujiongeza kitu kidogo kama hicho rafiki..... Nikija pm nitakua mbeya sasa na umbeya mwanamme sio issue kabisa tena mwanamme wa mkoani bora hata ningekua wa mbagala
Njoo pm rafiki yangu uniambie nani huyo
 
Hahahahaaa.. sio umbea rafiki.. mi sijui sasa nani huyo anaewasemaga kaka zangu
Unashindwaje bana kujiongeza kitu kidogo kama hicho rafiki..... Nikija pm nitakua mbeya sasa na umbeya mwanamme sio issue kabisa tena mwanamme wa mkoani bora hata ningekua wa mbagala
 
Amepotea saana aiseeh.

au shule ndiyo imembana?

au umemficha?
Masomo yamembana mkuu. Ila yupo Sijamficha angekwambia yule hakufichi kitu maana anakukubali sana.
 
Naogopa kumsema mtu kwa sura yake saana naona kama namdhalilisha.

Mfano kama nimekutana na mwanamke humu hata kama nimboovu...akinitumia picha namsifia tena saana.

Hakuna jambo mbaya kama kumwqmbia mtu u mbaya.

Itamuuma.
Ndio maana nakupenda
 
Ila ukweli ni kwamba watu wasiojiamini na jinsi walivyo ndio hupenda kushambulia muonekano wa mwingine ila kujiweka yeye juu. Kwamba anadhani kwa kuponda wanawakw/wanaume kutamfanya awe mtu wa kuvutia. Hii shida tunayo zaidi sisi wanawake. Huwa nawaambiaga rafiki zangu wanawake wasio wazuri wanapendaga sana kudis wanaume wazuri au wanawake wenzao. Yani huu ni ukweli kabisa. Ukiona mtu kila kitu kuhusu muonekano wa wenzie ni mbaya hata bila ya kumuona jua na yeye muonekano wakw una walakini
Nadhani ww ni mmoja y wachache walionielew. Majigambo hayafai
 
Wewe sio wote na mmkome mnawatakaga hao halafu mnaishia kubaya kabisa yaone mkishindwa jamani nimetapeliwa nimehivi vile komeni .
Na wengine yanawaoa hawajui kupika wala kutunza mume wao ni cmu nakujiremba wewe umepauka kama nini mtakoma.
Kaeni na shida zenu.
Msituletee wengine tunaohata sisi presha na stress zetu sio zenu kila mara hili lile kwaajili ya warembo ai .
 
Habari zenu wana MMU,
Usidanganyike na mada zao.
Usidanganyike na avatar zao
Usidanganyike na swaga zao.
Usidanganyike na usomi wao.
Usidanganyike na kejeri zao humu jukwaani.
Usidanganyike na kujifanya mambo safi
Wanaoponda wanaume wafupi, mara wasio na magari mazuri.
Wengi wao ukikutana nao hutaamini kile ukionacho mbele ya macho yako.
Huyu
Acha nipambane na hawa wa kina mwajuma ndala ndefu wa huku kwetu KIMBANGULIRE.
Leo ninatubu na storudia kumpenda mtu kwa avatar yake au picha.
Camera za 360 na simu za tecno zinawapendelea sana.
Nasema hivi .
(NIMETUBU SITARUDIA)
Muwe na na siku njema.
Mbona povuuu tulia utupe ujumbe
 
Back
Top Bottom