Nyamsusa JB
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 568
- 1,562
Hii ni Updates za Special Task Force dhidi ya Corona Virus kwa Amerika.
Raisi Trump na Dr Fauci wanataarifu Majuma Mawili yajayo yatakua ya Uchungu Mkuu kwa Watu wa Amerika ambapo inakadiriwa kiasi cha Watu wapatao zaidi ya Laki Moja watapoteza Maisha.
Na pia ndio inakadiriwa kua ndio itakua (Peak) kilele cha Ugonjwa huu wa Corona Virus kwa wa Amerika.
Amewaomba Watu wa Amerika wajiandae Kisaikolojia kupokea Msiba huu Mzito na Mgumu sana unaokuja.
"Mungu Aturehemu Atuepushe na Hili Janga" .
Sema "AMEN"
Raisi Trump na Dr Fauci wanataarifu Majuma Mawili yajayo yatakua ya Uchungu Mkuu kwa Watu wa Amerika ambapo inakadiriwa kiasi cha Watu wapatao zaidi ya Laki Moja watapoteza Maisha.
Na pia ndio inakadiriwa kua ndio itakua (Peak) kilele cha Ugonjwa huu wa Corona Virus kwa wa Amerika.
Amewaomba Watu wa Amerika wajiandae Kisaikolojia kupokea Msiba huu Mzito na Mgumu sana unaokuja.
"Mungu Aturehemu Atuepushe na Hili Janga" .
Sema "AMEN"