Poleni,ila ajali ilitokea jmatano dodoma na kulazwa moja ya hospitali Moro mpaka alipoamishiwa Muhimbili na kufanyiwa upasuaji wa kichwa usiku wa kuamkia ijumaa ndipo alipofia ICU leo asubuhi
TUMAINI ndilo jina lake kama sikosei.
Poleni wafiwa na jamaa wote. JF inaungana nanyi kwenye kuwafariji na kuwaombea amani. Roho yake ipumzike kwa amani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.