Bila shaka utakuwa unawazungumzia If'riit, hawa ni watata kweli hata jamii zao za majini wanawaogopa. Kuhusu kutofautiana kwenye baadhi ya mambo ni kawaida pengine vyanzo vya kupatia maarifa ni tofauti. Heko kwako bro, upo vizuri.Asante kwa ufafanuzi japo kwa ufahamu wangu bado hawa viumbe naona wanabaki kwenye kundi la viumbe roho
Vile vile majini yako ya kaliba nyingi na haya majini mahaba ni mojawapo katika ukoo mkubwa kuna wale hupita tu kwa kuweka kikao cha muda sawa tu na kuwa na hawara ...hapa ndio dhana ya kutibika inapojitokeza...ila kuna wale ambao ndio wamefika hao hawatoki
Asante sana pamoja naweBila shaka utakuwa unawazungumzia If'riit, hawa ni watata kweli hata jamii zao za majini wanawaogopa. Kuhusu kutofautiana kwenye baadhi ya mambo ni kawaida pengine vyanzo vya kupatia maarifa ni tofauti. Heko kwako bro, upo vizuri.
Day njema.
AiseeeeYesu hua ana negotiates na hao viumbe rejea yale mapepo yalimwomba yawaingie wale ngurue kwahiyo usishangae yakamuomba ya pige cha mwisho mwisho ndio yasepe
Uko sahihi kabisa mkuu ila hapo mwisho kwamba hakuna tiba yake mimi bado akili inakataa...inawezekana hao viumbe wakatushinda binaadamu maarifa?Asante nzuri tumerejea hewani tena
Vipi inapotokea kuwa mwanamke ana jini mahaba,wanapokuwa wanamuingilia au kufanya naye mapenzi anakuwa anajielewa au anakuwa hajui kitu chochote,na vipi wanaweza kumsababishia ujauzito..?Asante kwa ufafanuzi japo kwa ufahamu wangu bado hawa viumbe naona wanabaki kwenye kundi la viumbe roho
Vile vile majini yako ya kaliba nyingi na haya majini mahaba ni mojawapo katika ukoo mkubwa kuna wale hupita tu kwa kuweka kikao cha muda sawa tu na kuwa na hawara ...hapa ndio dhana ya kutibika inapojitokeza...ila kuna wale ambao ndio wamefika hao hawatoki
Ni lazima awe hana fahamu kamili..yani akiwa usingizini hata kama ni mchana....na mapenzi huwa matamu sana akishtuka tayari keshachafukaVipi inapotokea kuwa mwanamke ana jini mahaba,wanapokuwa wanamuingilia au kufanya naye mapenzi anakuwa anajielewa au anakuwa hajui kitu chochote,na vipi wanaweza kumsababishia ujauzito..?
yesu yuleyule aliyekua analalama msalabani ndo anaweza yote hayaTiba ni Yesu ... ukiwa kipofu na kutumia sababu yako kuhalalisha hali yako, nikweli kabisa Roho wachafu watakusumbua tena hasa ukiwa umefanya nao maagano
Ni yesu pekee. Ambaye atakupa ndoa hata ktk miaka 40 yako, atakufanya uzae hata km hospitalin umeambiwa huwezi kuzaa.
Marinda lazima yatatuliwendio jini mahaba? Vipi kwa mwanaume naye akipatwa na huyo jini atapata madhara gani?