Mkushi Mbishi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 347
- 558
Hata mm niko naye mpaka leo,,niliwahi kueleza humu yeye anaingia ndan ya mwili wa mwanamke mwingine na tunasex ama kwa njia ya ndoto ila namfahamu vizuri alishanihaidi baadh ya vitu na anatimiza kweli,kuna sehemu akiniambia niende nikifika nasikia sauti yake anaongea,alishawahi kunigusa,kumipigia simu nk
Hawa viumbe ni kweli wapo
Hawa viumbe ni kweli wapo



namtaka huyo 

