Joe Milla
JF-Expert Member
- Jul 28, 2014
- 953
- 1,585
Mara ya kwanza Walikuwa waIslam, waliabudu Mungu mmoja na kila anaezaliwa anakuwa muUslam kwa asili ila anabadirika baadae😁😁😁😁majini walibadirika baadae wakawa makafiri so ilitakiwa wasilimu kwanza wawe tena waIslamu😁😁😁Watu wa Ilimu watatusaidia zaidi mkuu hivi ndo mimi navyojua.Kabla ya majini kuwa waislamu walikuwa dini kabla ya kuja uislamu?