Majini na Uislam Kamili - Quran

Majini na Uislam Kamili - Quran

Ongezea na hii umeisahau

Majini Wana akili kuliko wakristo wote

Quran 46:30
- Wakasema: Enyi kaumu yetu! Sisi tumesikia Kitabu kilicho teremshwa baada ya Musa, kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake, na kinacho ongoza kwenye Haki na kwenye Njia Iliyo Nyooka

First time Majini wanasikia Quran wakasema tumesikia kitabu kilichoteremka Baada ya Musa kitu ambacho nyinyi wakristo mmeshindwa kujua ila majini wamejua

Nyinyi wagalatia mnatutia aibu Binadamu wenzenu Yani mnapitwa ufahamu hata na majini?

Kwanini majini walisema wamesikia kitabu kilichoteremka Baada ya Taurati Kwa nini wasiseme Baada ya Injili au Zaburi?

Majini Wana akili kuliko wakristo wote Duniani
Fack bitch***
In Tupac voices
Hao majini wapo wapi niwapige miti?
😅😅😅
 
We unalijua umbile la jinni mpaka ujiulize hayo maswali!?.. unaamini hawali!?..wala mzee ila siyo ugali bali damudamu za wanyama pengine na nyama, ndiyo maana makafara kwa waganga huambatana na kuchinja,huzaana pia kupitia jimai siyo symbiosis,huswali ndiyo na hufanya kila kitu ambacho binaadam hufanya
Wahuni wanaojua elimu yake mbona huyaua kirahisi tu na yakifa hunuka pia

Nakupata vizur .

Kwahiyo yanaenda msikitini.
Yanaenda kuhiji pia?.
Yanafanya ile ibada ya kumrushia mawe mwenzao?.

Wakuryesh walikuwa wanashirikiana na majini na mashetani.

Quran 72:6
" Na kulikuwa na wanaume miongoni mwa wanadamu waliokuwa wakijikinga kwa wanaume miongoni mwa majini, nao wakawazidisha ujeuri.”

Sio kwamba Waislam mpaka sasa wanashirikiana na majini ..na ndio yalimpa ujeur Mohamed na kuyakaribisha kuswal . Na kuwa kitu kimoja?.

Kwanini majini yanaogopa mifupa ya kitimoto na waislam wanaogopa hata kugusa kula nyama ya Kitimoto?.

Ni kwasababu wote ni sawa.
Dumas the terrible
 
Fack bitch***
In Tupac voices
Hao majini wapo wapi niwapige miti?
😅😅😅

Waislam ndio majini wenyewe.
Dini ya kiislam imeundwa kupinga uyahud na ukristo.

Ni dini ya kipagani na ni ya shetan.

Wanasema kuna majini mabaya na mazuri.
Ila cha ajabu majini hao hao mabaya yanayowasumbua watu .
Na hao watu wakipandisha mashetani majini yanasema majina ya kiislamu.

Ina maana hakuna jini baya wala zuri.
Yote mabaya , yote ni mashetani na yote ni waislam.
 
Wakristo ni tofauti sana na waislam na majini.

Maji na mafuta hayawez kukaa pamoja.

Hawa watoto wa shetan ambao ni waislam watafunga na wenyewe mwez huu wa ramadhani?.
Ukiulizwa ushahidi wa hayo maneno utaanza kuzungukazunguka
 
Ungeandika kistaarabu ningekujibu.
Ila huko kubong'oa.
Acha nikuache🚶🚶🚶
 
Ukiulizwa ushahidi wa hayo maneno utaanza kuzungukazunguka
Ukiulizwa ushahidi wa hayo maneno utaanza kuzungukazunguka

Ushahidi gan tena wakat mmekiri wenyewe.

Majini huzaliwa na kufa.
Na kuna watoto wa kijini .
Ambao wamezaliwa na majini ya kiislam. Na wanaenda msikitini.

Ndio nikauliza Majini ya kiislam yatafunga mwez wa ramadhani?

Mm nataka kujua tu.
Sina ilim ya majini kama uliyonayo ww.
 
Ungeandika kistaarabu ningekujibu.
Ila huko kubong'oa.
Acha nikuache🚶🚶🚶

Nabadili.
Kwenye kubong'oa toa weka.
Kusujudu kuelekea makka.

Naomba ilim tafadhali.

Pia ni mashekh ndio wanawaongoza au wao wana namna nyingne?.
Wao pia wanapiga adhana ?.
 
Ushahidi gan tena wakat mmekiri wenyewe.

Majini huzaliwa na kufa.
Na kuna watoto wa kijini .
Ambao wamezaliwa na majini ya kiislam. Na wanaenda msikitini.

Ndio nikauliza Majini ya kiislam yatafunga mwez wa ramadhani?

Mm nataka kujua tu.
Sina ilim ya majini kama uliyonayo ww.
Ushahidi wa kuwa Shetani alisilimishwa
 
Mm nataka kujua tu.
Sina ilim ya majini kama uliyonayo ww.
Wewe utakuwa unawajua sana majini na ndio maana kuna vitu Uislamu unasema kuhusu majini wewe ambaye unawajua sana unaona kama uongo🤣🤣🤣
 
Wewe utakuwa unawajua sana majini na ndio maana kuna vitu Uislamu unasema kuhusu majini wewe ambaye unawajua sana unaona kama uongo🤣🤣🤣

Mm nakusanya maarifa ili nipinge kwa hoja na logic.

Mm ni mkristo.
Majini ni Waislam.
Ni vitu viwili tofauti.
 
Mm nakusanya maarifa ili nipinge kwa hoja na logic.

Mm ni mkristo.
Majini ni Waislam.
Ni vitu viwili tofauti.
Kama ni vitu viwili tofauti mbona unaonekana unawajua sana hadi kuhoji vitu kuhusu wao maana ungekuwa huwajui usingehoji habari za wao kuwa na uwezo wa kunywa maji
 
Hiko kitabu cha asili ya majini. Si kaandika muislam mwenzenu. Anayejua ilim ya majini kuliko ww.
Unapingana nae?.

Huo ni ushahidi tosha.
Yeye ni nani katika Uislam alichukua elimu kwa mwanazuoni gani

Wewe usikute hata jina la mwandishi na kitabu chenyewe haulijui🤣🤣🤣
 
Wakristo ni tofauti sana na waislam na majini.

Maji na mafuta hayawez kukaa pamoja.

Hawa watoto wa shetan ambao ni waislam watafunga na wenyewe mwez huu wa ramadhani?.
Mkuu ukifanya majini kuwa ndio malaika waliyoasi hapo ndio mnachanganyana.
 
Mkuu ukifanya majini kuwa ndio malaika waliyoasi hapo ndio mnachanganyana.

Hivi Shetani ni mmoja yule yule ?.

Quran inasema shetan ana madhuriya.
Ina maana alivyoshuka dunian akaja kuwalomba majini wenzake na kupata watoto wengi wengi.

Ila yeye hafi kwasababu alipewa muhula Hadi kiama.
Ila hao watoto wake ambao ni majini mashetani ndio wanakufa..

😎😎😎😎 kwahiyo mnataka tuamini hivi? 😂😂😂😂
 
Hivi Shetani ni mmoja yule yule ?.

Quran inasema shetan ana madhuriya.
Ina maana alivyoshuka dunian akaja kuwalomba majini wenzake na kupata watoto wengi wengi.

Ila yeye hafi kwasababu alipewa muhula Hadi kiama.
Ila hao watoto wake ambao ni majini mashetani ndio wanakufa..

😎😎😎😎 kwahiyo mnataka tuamini hivi? 😂😂😂😂
Wewe unataka tuamini kuwa Malaika wanazaa au🤣🤣🤣
 
Wewe unataka tuamini kuwa Malaika wanazaa au🤣🤣🤣

Shetani aliasi Mbinguni.
Akashuka na jeshi lake la malaika wanaomtii.
Kazi yao ni kupotosha binadamu.
Ndio haya mapepo na mashetani tunayoyaona.
Hakuna zuri. Yote ni mabaya.

Hawazai(hawalombani) ,Hawafi, Na watakaa hadi siku ya mwisho.

Wakimalizana /kufukuzwa kwa mtu mmoja . Huwa wanazunguka zunguka na wanahamia kwa mwingne. (Hawafi hawa).

Na wafuasi wao waliowavuna (binadamu) ndio wataingia motoni pamoja na hayo mashetani.

Hizi roho chafu . Ambazo ni mapepo ni kazi ya hao malaika wachafu kuhadaa binadamu na kufanya uovu au kuwatesa (kulogwa.)
 
Hivi Shetani ni mmoja yule yule ?.

Quran inasema shetan ana madhuriya.
Ina maana alivyoshuka dunian akaja kuwalomba majini wenzake na kupata watoto wengi wengi.

Ila yeye hafi kwasababu alipewa muhula Hadi kiama.
Ila hao watoto wake ambao ni majini mashetani ndio wanakufa..

😎😎😎😎 kwahiyo mnataka tuamini hivi? 😂😂😂😂
Maswali unayoyauliza unayaelekezea kwenye uislamu tu ila kama ukiangalia vizuri utagundua kwamba ni maswali yenye kugusa hata kwenye ukristo pia kwa jinsi ambavyo wakristo wanavyo waelezea majini/shetani/mapepo.

Hata mimi binafsi huwa najiuliza hivi malaika waliyoasi walikoma kuwa malaika baada ya kuasi au kwamba walibadilika kutoka kwenye umalaika na kuja kuwa viumbe wengine kabisa wasio na sifa za malaika ambao ndio tunawaita mapepo/majini?

Yani kwa mfano kuna imani ya kwamba mapepo huogopa mfupa wa nguruwe, sasa huwa najiuliza kwamba hata hao malaika wenzao ambao hawajaasi nao huagopa mfupa wa nguruwe au majini/mapepo tu na ni kwa sababu wao sio malaika tena ni viumbe wengine?

Kuna maswali mengi ya kujiuliza kuhusu hawa viumbe tusiowaona.
 
Back
Top Bottom