Kwani mkuu hao mapepo na binaadamu ni wepi wako wengi ni binaadamu au mapepo(malaika waliyoasi)? Najaribu kuwaza kama hao mapepo wako wachache kuliko idadi kubwa ya binaadamu najiuliza wanajigawa vp kiasi cha kuweza kuwaada na kuwatesa binaadamu wote sie ukizingatia sie tunazidi kuongezeka ila wao idadi yao ipo vilevile?Shetani aliasi Mbinguni.
Akashuka na jeshi lake la malaika wanaomtii.
Kazi yao ni kupotosha binadamu.
Ndio haya mapepo na mashetani tunayoyaona.
Hakuna zuri. Yote ni mabaya.
Hawazai(hawalombani) ,Hawafi, Na watakaa hadi siku ya mwisho.
Wakimalizana /kufukuzwa kwa mtu mmoja . Huwa wanazunguka zunguka na wanahamia kwa mwingne. (Hawafi hawa).
Na wafuasi wao waliowavuna (binadamu) ndio wataingia motoni pamoja na hayo mashetani.
Hizi roho chafu . Ambazo ni mapepo ni kazi ya hao malaika wachafu kuhadaa binadamu na kufanya uovu au kuwatesa (kulogwa.)
Na mimi pia naanza kukushangaa kama unavyotushangaa sisi kuhusu majiniShetani aliasi Mbinguni.
Akashuka na jeshi lake la malaika wanaomtii.
Kazi yao ni kupotosha binadamu.
Ndio haya mapepo na mashetani tunayoyaona.
Hakuna zuri. Yote ni mabaya.
Hawazai(hawalombani) ,Hawafi, Na watakaa hadi siku ya mwisho.
Wakimalizana /kufukuzwa kwa mtu mmoja . Huwa wanazunguka zunguka na wanahamia kwa mwingne. (Hawafi hawa).
Na wafuasi wao waliowavuna (binadamu) ndio wataingia motoni pamoja na hayo mashetani.
Hizi roho chafu . Ambazo ni mapepo ni kazi ya hao malaika wachafu kuhadaa binadamu na kufanya uovu au kuwatesa (kulogwa.)
Nauliza maana huwa sioni kutumika neno pepo kukusudia malaika wasioasi(wema) mara zote huwa naona neno pepo hutumika kwa malaika waliyoasi tu.Unauliza au unajibu?
Usijibu kitu kama hujui,umeshawahi kusikia simulizi ya hekalu la mfalme Suleimani lilijengwa na majini? na ni ukweli kabisa,sasa jiulize vilaza wangejenga hekalu?Wewe ndo kilaza kabisa majini ni mapepo tu machafu kama mapepo mengine.
Swali lako linaitaji elimu kidogo,naweza kusema kazi yao ilikuwa ni kumtii mwenyezi Mungu lakini waliposikia Quruani wengi waliongokaKabla ya majini kuwa waislamu walikuwa dini kabla ya kuja uislamu?
Hapo ndipo mnapokoseaga hivi Yesu yeye akunusuru kama nani? wakati naye siku ya hukumu atakuwa anasubilia kuhukumiwa,sawa na mama yake sawa na babu yake,asiyehukumiwa na mwenyekuhukumu ni Mungu peke yake
Hapo ndipo mnapokoseaga hivi Yesu yeye akunusuru kama nani? wakati naye siku ya hukumu atakuwa anasubilia kuhukumiwa,sawa na mama yake sawa na babu yake,asiyehukumiwa na mwenyekuhukumu ni Mungu peke yake nawashauri ndugu zangu msikubali kupewa elimu ya upande mmoja nenda ukatafute elimu hata upande wa pili uone ulimwengu ukoje?
Na hivyo ndivyo ilivyo.Nauliza maana huwa sioni kutumika neno pepo kukusudia malaika wasioasi(wema) mara zote huwa naona neno pepo hutumika kwa malaika waliyoasi tu.
Watu wengine mnasikitisha sana hata hoja zenu zinachekesha pia.Usijibu kitu kama hujui,umeshawahi kusikia simulizi ya hekalu la mfalme Suleimani lilijengwa na majini? na ni ukweli kabisa,sasa jiulize vilaza wangejenga hekalu?
Siyo tunasikitisha tatizo elimu yako ni ndogo ndugu,hebu jiulize ingawa hii haingiliani na majini kwa nini watu weupe Wazungu na Waarabu walikuwa nawaweza kuswaga ndugu zetu kama kuku yaani inamana wakoloni 4 wangewaswaga hata watu mia wasilete hofu yoyote ile?au kwa nini babu zetu wenye uhusiano na Uisilamo waliwasumbua sana wakoloni mfano Mkwawa Muisilamu,Kinjekitile muisilamu?Watu wengine mnasikitisha sana hata hoja zenu zinachekesha pia.
Mwenzao yupi?Nakupata vizur .
Kwahiyo yanaenda msikitini.
Yanaenda kuhiji pia?.
Yanafanya ile ibada ya kumrushia mawe mwenzao?.
Kwenu uyole waganga hawashirikiani na majini?Wakuryesh walikuwa wanashirikiana na majini na mashetani.
Quran 72:6
" Na kulikuwa na wanaume miongoni mwa wanadamu waliokuwa wakijikinga kwa wanaume miongoni mwa majini, nao wakawazidisha ujeuri.”
Nikuelekeze kwa mtu uende na mfupa wa nguruwe halafu akurushie jini tuone kama litaogopa?Sio kwamba Waislam mpaka sasa wanashirikiana na majini ..na ndio yalimpa ujeur Mohamed na kuyakaribisha kuswal . Na kuwa kitu kimoja?.
Kwanini majini yanaogopa mifupa ya kitimoto na waislam wanaogopa hata kugusa kula nyama ya Kitimoto?.
Ni kwasababu wote ni sawa.
Dumas the terrible
Ninamashaka makubwa sana na afya yako ya akili, kabla ya kukujibu swali lako lisilo na kichwa labda tuludi mwanzo, kwa nini hayo majini yamjengee suleimani mwana wa daudi mtumishi wa mungu aliye hai yaani YEHOVA hekaru na yashindwe kumjengea baba yenu mudy kibaraka wa Alah aliye yatambulisha kwenu kupitia utahira na uwendawazimu wa kichwa chake?Siyo tunasikitisha tatizo elimu yako ni ndogo ndugu,hebu jiulize ingawa hii haingiliani na majini kwa nini watu weupe Wazungu na Waarabu walikuwa nawaweza kuswaga ndugu zetu kama kuku yaani inamana wakoloni 4 wangewaswaga hata watu mia wasilete hofu yoyote ile?au kwa nini babu zetu wenye uhusiano na Uisilamo waliwasumbua sana wakoloni mfano Mkwawa Muisilamu,Kinjekitile muisilamu?
Ndiyo maana nimekwambia una elimu ndogo,bado unajidhihirisha ulivyokuwa na elimu ndogo,basi chukua hii,Mfalme Suleimani alikuwa amepewa amri juu ya viumbe vyote kuanzia wanyama ndege mpaka upepo,na alikuwa anajua lugha zao,mpaka alikuwa anawasikia sisimizi wanavyoongea limetumika jina la mdudu chungu,anapojenga Hekalu alikuwa amekalia kiti huku ameegemea bakola yake majini walifanya kazi kwa kumuogopa wakijua mzima kumbe amekufa walikuja stuka helalu limeisha na na alipoanguka baada ya bakola yake kuliwa na mchwaNinamashaka makubwa sana na afya yako ya akili, kabla ya kukujibu swali lako lisilo na kichwa labda tuludi mwanzo, kwa nini hayo majini yamjengee suleimani mwana wa daudi mtumishi wa mungu aliye hai yaani hekaru na yashindwe kumjengea baba yenu mudy kibaraka wa Alah aliye yatambulisha kwenu kupitia utahira na uwendawazimu wa kichwa chake?
Yaani unavyoropoka na kupayuka hovyo kama ulikuwepo wakati anapewa hayo mamraka na ulishuhudia tumia akili usipende kukalilishwa hovyo tu.Ndiyo maana nimekwambia una elimu ndogo,bado unajidhihirisha ulivyokuwa na elimu ndogo,basi chukua hii,Mfalme Suleimani alikuwa amepewa amri juu ya viumbe vyote kuanzia wanyama ndege mpaka upepo,na alikuwa anajua lugha zao,mpaka alikuwa anawasikia sisimizi wanavyoongea limetumika jina la mdudu chungu,anapojenga Hekalu alikuwa amekalia kiti huku ameegemea bakola yake majini walifanya kazi kwa kumuogopa wakijua mzima kumbe amekufa walikuja stuka helalu limeisha na na alipoanguka baada ya bakola yake kuliwa na mchwa
Basi nikadhani kuna pepo wasafi pia ambao ni malaika wasioasi kwa sababu wale malaika waliyoasi wanaitwa pepo wachafu.Na hivyo ndivyo ilivyo.
Nataka nikwambie kila kitu kama kingeandikwa kwenye Biblia au Quruani basi hivyo vitabu visingewezekana kubebeka vingekuwa vikubwa sana,lakini katika Uisilamu kuna elimu ya Sira yaani hadithi ambazo zipo nyingi sana kwa hiyo usizalau kile ambacho huna na mwenzako anacho,Yaani unavyoropoka na kupayuka hovyo kama ulikuwepo wakati anapewa hayo mamraka na ulishuhudia tumia akili usipende kukalilishwa hovyo tu.
Kwanini hausemi ni dini ya malaika kwani hao majini si ndio hao malaika au majini ni viumbe wengine kabisa kiasili tofauti na malaika?Ni Dini ya Majini hiyo,
Achaneni nayo