Sio inasemekana, Kikwete ameshawahi kusema kwua alipelekewa orodha ya majina ya wauza unga, inashangaza kuwa hadi leo ahtujaona hatua zozote kuchukuliwa licha ya yeye kusema kuwa ameyakabishi kwa taasisi inayohusika na mambo hayo
Huenda uchaguzi unapokaribia, ndio majina yanaanza kuisogelea mahakama...