Capogi jr.
Member
- Feb 14, 2014
- 49
- 7
Majani duniani kuna majina mengi mpaka mengine unaogopa kuyataja mbele za umati wa watu kama tuntufye, nkundwe, angeposya, mwakatobe, tulinagwe.......kama mengne wayajua ebu tililika hapa watu wayaone......
Mara ya kwanza najua maana ya neno hilo nilistuka sana.1.dick....yaani kifupi cha dickson
2.msengi
Majani duniani kuna majina mengi mpaka mengine unaogopa kuyataja mbele za umati wa watu kama tuntufye, nkundwe, angeposya, mwakatobe, tulinagwe.......kama mengne wayajua ebu tililika hapa watu wayaone......
Kule moshi kuna ukoo unaitwa ukoo wa 'Mboroo'