Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
Ya akina dada?
ya kwenu hayo. Unashangaa nini?
Ya akina dada?
maharage ya mbeya
mlenda.
Wow,kazi ipo!
am proud of my gals Tatiana,Husninyo and Shosti.Big up Yourselves. Aluta Continua!
utumbo wa kitabu
thanx dear. Hii vita ni kali ila lazima tushinde
maharage ya mbeya
atm,zoba,mwanaume jina,kisirani,simba mla majani.,em ngoja niulize tena.
mwanaume suruali.
mbuzi wa shughuli,ningesema mengine ila naogopa :ban:
sanamu la michelini
Hivi ni kwa nini wasichana wanapewa majina tofauti na wavulana?
Mfano:
1. DEMU
2. MLUPO
3. SHORI
4. KISHTOBE
5. MANZI
6. SISTA DUU
7. SKETI
Kama unayajua mengine unaweza ongezea
mmeishiwa sasa mnaanza kurudia rudia.....subirini bado tunakuja....si mmelianzisha wenyewe
kumbe shosti hivi kumbe hawajijui hawaaa,wakiona tunawachekea wanazani kweli!!!mmh shosti mahasira yamepanda unataka utoe matusi nini.
kumbe shosti hivi kumbe hawajijui hawaaa,wakiona tunawachekea wanazani kweli!!!
kiroboto,swine,karunguyeye,.atm,zoba,mwanaume jina,kisirani,simba mla majani.,em ngoja niulize tena.