majina ya wasichana

usijali mamy kiukweli mi wala sikumfata yy mwenyewe tena nilimwambia atakubali kutokuwa kwenye kumi bora?akasema ndio sasa kosa langu ni nn jamani?
mmmhh haya bibie we bore umpe hayo maufundi yako
halafu baada ya wiki anachanya niliyo mfundisah na hayo yako...
halafu we waanza kutanga na njia tena..

mmhh miezi miwili ni mingi sana hata kaa na we kwa huo muda...
kwani anajua ni nani zaidi...
kuna chatroom kule kwenye "signature nizipendazo ndo mahali mie na Dena, smile,Kimey tunawaza tuwa fanye nini..
anyway mie borea nirudi kule unakaribisha ...

haya kila lakheri...
 
mmmhhh mie mambo ya kuchangia dhahabu yangu sitaki...

haya mie bado namauchungu sanaaa ...
uuu wiii:Cry::Cry:

mie nilimwamini 100%..
lakini mmhh
haya we ngoja arudi..:Cry:
What's going on kuna mtu ameiba password yangu hauwezi amini
 
aah we acha tu.... we ushakuta hina mwili mzima weye? hata keki ya obama sio vile mazee

mtu ang'ara ka' nyoka ati

na hayo macho anavyoyapembua,
utadhani cleopatra vile,
tanga hiyo.......
 
Hivi ni kwa nini wasichana wanapewa majina tofauti na wavulana?

Mfano:

1. DEMU
2. MLUPO
3. SHORI
4. KISHTOBE
5. MANZI
6. SISTA DUU
7. SKETI

Kama unayajua mengine unaweza ongezea

king'amuzi kiburudisho...
 
majina ya wanaume ninoma hebu sikia hii'my kibuzi'my atm''my fataki'hehehe!how does it sound?
 
mume *****,
babu jinga,
kaka poa
kibamia
kula kulala
mtoto wa mama
cha pombe
mitungi
mzee wa mizinga
kiroba
mpambe
mwanaume kama binti
mkono wa birika
i will be right back, naenda kutizama dictionary yangu
 
Back
Top Bottom