Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
upo huku kumbe?Dah! Aisee
upo huku kumbe?Dah! Aisee
mmmhh haya bibie we bore umpe hayo maufundi yako
halafu baada ya wiki anachanya niliyo mfundisah na hayo yako...
halafu we waanza kutanga na njia tena..
mmhh miezi miwili ni mingi sana hata kaa na we kwa huo muda...
kwani anajua ni nani zaidi...
kuna chatroom kule kwenye "signature nizipendazo ndo mahali mie na Dena, smile,Kimey tunawaza tuwa fanye nini..
anyway mie borea nirudi kule unakaribisha ...
haya kila lakheri...
What's going on kuna mtu ameiba password yangu hauwezi aminimmmhhh mie mambo ya kuchangia dhahabu yangu sitaki...
haya mie bado namauchungu sanaaa ...
uuu wiii:Cry::Cry:
mie nilimwamini 100%..
lakini mmhh
haya we ngoja arudi..:Cry:
aah we acha tu.... we ushakuta hina mwili mzima weye? hata keki ya obama sio vile mazeeTanga kunani tena babu?
aah we acha tu.... we ushakuta hina mwili mzima weye? hata keki ya obama sio vile mazee
mtu ang'ara ka' nyoka ati
binti... mie mwenzio pensionerOhooo hivyo tena ila twende kwenye signature ndo chat room imekuwa poa hii naona imepooza
Hivi ni kwa nini wasichana wanapewa majina tofauti na wavulana?
Mfano:
1. DEMU
2. MLUPO
3. SHORI
4. KISHTOBE
5. MANZI
6. SISTA DUU
7. SKETI
Kama unayajua mengine unaweza ongezea
Sasa je,huko ndani Tanga babu,nanii vipi hazijawekwa kwenye kisosi.aah we acha tu.... we ushakuta hina mwili mzima weye? hata keki ya obama sio vile mazee
mtu ang'ara ka' nyoka ati
hujambo mama., Me missing you Big
hapo kwenye RED ngoja TF aone
we acha tu, i never know how much they weigh until last nightSasa je,huko ndani Tanga babu,nanii vipi hazijawekwa kwenye kisosi.
we acha tu, i never know how much they weigh until last night
Hommie huyu Lily Flower sijui nimfanyeje