Majina ya Wanawake wa JF

Majina ya Wanawake wa JF

Jamani Mapi - it means mpole, mnyenyekevu "very submissive", hapendi kugombana, huumia sana moyo akikosewa lakini huishia kuomba msamha, ana adabu, mrembo. Anahitaji mwanaume anayeweza kumpa spesho care, vinginevyo atakufa siku si zake.
 
Last edited by a moderator:
Preety - Sura nzuri, haamini mtu kirahisi, anapenda mtu anayemjali sana - yaani bila I love, I miss u, hello sweet, etc., mia kwa saa au kwa mkupuo imani hana juu yako, unampoteza hivihivi unajiona, ana upendo, ni sexy pia.
 
Last edited by a moderator:
Hivi wale wenye sifa mbaya mbona hujawataja majina?

Au unaogopa?
 
Hivi inamaana member wote wanasifanjema tu?
Hakuna majizi?

Au ndo zile za kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa?

Kuna jukwaa limejaa watu wa hiyo sifa, wanafanya vita dhidi ya wapigania haki, unalifahamu.
 
mi itabidi nianze kuwacliana na lady doctor ili niprove post yako, then wengne watafuata mpaka wote waishe! haya lady doctor jimwage na communication kwangu, we ndio wa kwanza

hahahahaaa TONJA mwenzio Simplicity ni mbunifu na wewe toa ubunifu wako tuone
 
Last edited by a moderator:
hahahahaaa TONJA mwenzio Simplicity ni mbunifu na wewe toa ubunifu wako tuone

Unadhani KUMPM mdada humu Jf ni kazi ndogo, tuma PM yako uone, utakuja kujibiwa mwakani tena kwa jibu fupi la dharau "Whois", ukijieleza kama ukurasa mzima hivi, reply ni 2015 tena jibu lenyewe ni "Makubwa!".

Kutuma PM ni kipaji mkuu, angalia usije ukahama JF au ukaja na uzi wa matusi hapa, sasa kitakachofuata ni nini kama sio ban!

CC: nanjilinji, Elli79, Mwanyasi, na wote mnaotaka kujaribu huu mchezo!
 
Last edited by a moderator:
Unadhani KUMPM mdada humu Jf ni kazi ndogo, tuma PM yako uone, utakuja kujibiwa mwakani tena kwa jibu fupi la dharau "Whois", ukijieleza kama ukurasa mzima hivi, reply ni 2015 tena jibu lenyewe ni "Makubwa!".

Kutuma PM ni kipaji mkuu, angalia usije ukahama JF au ukaja na uzi wa matusi hapa, sasa kitakachofuata ni nini kama sio ban!

CC: nanjilinji, Elli79, Mwanyasi, na wote mnaotaka kujaribu huu mchezo!

Acha kudanganya watu wewe

Na kama hudanganyi tuambie umejuaje yote haya?
 
Kuna vitu vya maana vya kuandika kila kona,
Sasa inakuwaje unatajataja majina tuuu, thread nzima tena kwa vitu visivyo na maana?
 
Back
Top Bottom