Wisest man
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 993
- 332
hahahahahahahahaaaaaaaaaa acha ncheke mie ninenepe
aliyekwambia mm ni mwanamke humu jf ni nani?
au wajidanganya nafsi wewe?
Alikuwa anadhani wewe ni she kumbe ni he!!
hahahahahahahahaaaaaaaaaa acha ncheke mie ninenepe
aliyekwambia mm ni mwanamke humu jf ni nani?
au wajidanganya nafsi wewe?
Duuu!, yaani mwanaume halafu unajifanya mwanamke!!Watu wanataka wa-drow attention za wadada
Wengine humu ni mijamaa lakini inajidai mijike
Watu unadhani una m-PM dem kumbe jamaa!
Chezea mashavu wewe!
Nayatamani hayo mahipsi.How abt me??
Simplicity mie umenipendelea bwana........nakata rufaa...
Hahahahahahah! Simplicity, una hasira, ghadhabu, mashaka, hofu, ugwadu na mishe mishe kibao hapa Jf, I bet ule mtego wako wa zawadi kwa madada wako ulifeli ( Umeingizwa mkenge na watoto ya mjini), hongera kwa ku opt plan B,
How abt me??
Sema tu unataka kujua kilichojiri, sikuambii ng'o!
Alikuwa anadhani wewe ni she kumbe ni he!!
Duuu!, yaani mwanaume halafu unajifanya mwanamke!!
This is awkward.
Sie ndio tunaokuona!
Mmmmh....kumbe!Watu hawajui kwa nini unajiita chocs - chocolate, it says all in one!
Usipokazana utaibiwa mume na mahipsi baby​, chezea hipsi wewe!!ushindwe na ulegee katika jina la Heaven on earth
Usipokazana utaibiwa mume na mahipsi baby​, chezea hipsi wewe!!
hahaa hayo mahips hata kwa mchina yatapatikana tu....
mimi huyu mchina namsubilia tu anitengenezee dawa ya kuifanya ngozi yangu iwe nyeusi....nataka niwe mweusi.....