CONSTANTKD
Member
- Jan 24, 2018
- 24
- 8
Naombaa kuulizaa jaman ,,majina ya watahiniwa walio’omba vyuo vikuu bado hayajatoka mpk xx!!? Na kama kuna hata chuo kimoja kilichotoa bac naombeni link,ahsanteni



We jamaa pia ni msomi unandikaje ivoNaombaa kuulizaa jaman ,,majina ya watahiniwa walio’omba vyuo vikuu bado hayajatoka mpk xx!!? Na kama kuna hata chuo kimoja kilichotoa bac naombeni link,ahsanteni![]()
Home - Tanzania Commission for UniversitiesAmnaa namchekia2 dogowng bro
Na kwa waliochaguliwa single selection wanatoa lini,naomba unijuze kama unafahamu ndugu
wameshatoa vyuo vingine Kama muhas, udom namzumbe na vingineNa kwa waliochaguliwa single selection wanatoa lini,naomba unijuze kama unafahamu ndugu
TAYARI KILA CHUONa kwa waliochaguliwa single selection wanatoa lini,naomba unijuze kama unafahamu ndugu