real toxic
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 533
- 104
Iborogero Igunga Tabora
Hili eneo nikipitaga pale huwa nacheka sanaaa
Iborogero Igunga Tabora
Mh mma kughu kangi uko ngapilikamo.amatanga ghanimatanga
Huo ni uwongo namanyere hilo ni neno la kikurya lenye maana nafaham/natambua
Nsangamwalugheshi karibu sana huku
Sawa lkn pia kuna sehem inaitwa hvo....tena kuna mtu hum katuambia iko katavi.
aaaaaahhhhh!!! mpendwa hicho kijiji kipo Wilaya ya Sumbawanga, Mkoa wa Rukwa nimewahi fika hapo mara kadhaa miaka ya 1980sMh mma kughu kangi uko ngapilikamo.amatanga ghani