Majina ya vijiji vyetu

Majina ya vijiji vyetu

Cardinal06

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
963
Reaction score
327
Tanzania ina uzuri wa kijiografia na mambo mengineyo pia.....sasa leo nataka uweke jina la kijiji au eneo ambalo linafurahisha......

Mm kuna eneo linaitwa NAMANYERE.....sijui liliko ila nikilisikia tu mm hoiiiii
 
Kishapu....
Kwa mara ya kwanza kulisikia hilo jina lilinikaa mdomoni kwakweli
 
Back
Top Bottom