:coffee: Leo nawasomea majina ya watu wote wanaouza unga, naanza na kigogo nambari one
ambaye ni............:Cry:. yalaaa nani tena kanimwagia tindikali sioni tena hapa.
Jamani chukueni karatasi muendelee kuwataja.
Nyie mnaogopa, nipeni mie hiyo karatasi ya majina!
Mamaaaaaaaaaaaaa...........nimepotea......jamani nimetekwa....sijui nimetokea wapi huku jamani...may day may day!!!
aah,nyie mnaogopaa nn kuwataja,kizazi ni chetuu nchi ni yetu,leta pepa niwaanikee laivuu,wa kwanza ni muheshmiwaa....,mamaaa karatasii ilee imechukuliwa na upepoo,hadi uchawii unatumika kah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.