CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Habari za usiku wanaCC....
Miss u mingi wapendwa, hope mko mwake mwake babaake!!
Dah, leo nimekumbuka majina ya utani enzi za utoto, hapa nitataja baadhi ya majina ya utani ya marafiki zangu wa utotoni na langu nitalitaja humohumo ila sitaliweka wazi maana kuna watu humu wanaweza kunistukia....
Nawe pia unaweza kuongeza jina lako au la marafiki zako wa utotoni!!!!!
Kuna dogo mmoja alikuwa akiitwa Pendo, yeye tulimtungia Pendo mshua alikuwa.mshua kweli, Dogo mmoja tulikuwa tunamuita Maudaga ( mihogo iliyokaushwa kwa ajili ya kusagwa kuwa unga) yeye huyu kichwa chake kila siku kilikuwa na vidonda donda visivyopona.
Mwingine tulimuita pengo tochi, baada ya kung'ooka meno mapengo yake yalikuwa makubwa kweli. Hata baada ya meno kuota jina lake la utani likawa pengo tochi...
Mwingine tulimuita Miss Coke.. huyu alikuwa msichana mweusi ti, yaan ule weusi wa mng'ao sana!
Mwingine tulimuita Mchomoko, yaan huyu msichana alikuwa anaongea saaana, afu alikuwa hajatulia, mara yuko. hapa mara kule ya ana kiherehereeeeeee........
Hebu ongezea!!!!!
Miss u mingi wapendwa, hope mko mwake mwake babaake!!
Dah, leo nimekumbuka majina ya utani enzi za utoto, hapa nitataja baadhi ya majina ya utani ya marafiki zangu wa utotoni na langu nitalitaja humohumo ila sitaliweka wazi maana kuna watu humu wanaweza kunistukia....
Nawe pia unaweza kuongeza jina lako au la marafiki zako wa utotoni!!!!!
Kuna dogo mmoja alikuwa akiitwa Pendo, yeye tulimtungia Pendo mshua alikuwa.mshua kweli, Dogo mmoja tulikuwa tunamuita Maudaga ( mihogo iliyokaushwa kwa ajili ya kusagwa kuwa unga) yeye huyu kichwa chake kila siku kilikuwa na vidonda donda visivyopona.
Mwingine tulimuita pengo tochi, baada ya kung'ooka meno mapengo yake yalikuwa makubwa kweli. Hata baada ya meno kuota jina lake la utani likawa pengo tochi...
Mwingine tulimuita Miss Coke.. huyu alikuwa msichana mweusi ti, yaan ule weusi wa mng'ao sana!
Mwingine tulimuita Mchomoko, yaan huyu msichana alikuwa anaongea saaana, afu alikuwa hajatulia, mara yuko. hapa mara kule ya ana kiherehereeeeeee........
Hebu ongezea!!!!!