Nimeona clip moja ya Gwajima eti anamwita baba yake miaka 87 na kumlaghai aseme kwamba ana mwamrisha mkwe wake asitumie jina lao.
Hakuna mtu binafsi ambaye anamiliki jina na koo yoote .
Haya majina ya koo yalikuwepo miaka mingi sana na wengi hata hawajui yametokea wapi. Hakuna mtu ambaye ni ana uwezo wa kuamua nani na yupi atumie jina la koo.
Hizi ni drama za kitoto za Gwajima. Huyu kaka yake Gwajima hakuchaguliwa kuwa Gwajima ni haki yake ya kuzaliwa
Hakuna mtu binafsi ambaye anamiliki jina na koo yoote .
Haya majina ya koo yalikuwepo miaka mingi sana na wengi hata hawajui yametokea wapi. Hakuna mtu ambaye ni ana uwezo wa kuamua nani na yupi atumie jina la koo.
Hizi ni drama za kitoto za Gwajima. Huyu kaka yake Gwajima hakuchaguliwa kuwa Gwajima ni haki yake ya kuzaliwa