Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 15,096
- 8,892
Huwa najiulizaga hivi huyo jini Maimuna anatambulika duniani kote kwa jina hilo Maimuna?maana ishu za majini zipo duniani kote.Jini maarufu ni "MAIMUNA".
Huwa najiulizaga hivi huyo jini Maimuna anatambulika duniani kote kwa jina hilo Maimuna?maana ishu za majini zipo duniani kote.Jini maarufu ni "MAIMUNA".
Pamoja na kuwepo kwa usanii mwingi siku hiz kwenye makanisa mbali mbali lakini ninaamini kuwa yapo majiin/ mapepo na wengine wakiita mashetani
Ninaamini hivyo kwasababu nikiwa mdogo, kulikuwa na 'dada' zangu waliokuwa wanasumbuliwa na hayo 'mapepo' na hivyo nilijiridhisha kuwa hakukuwa na 'usanii' pale.
Nimeeleza hayo kwasababu nina swali limenitatiza kwamba wakati wa maombezi kwa hao 'dada' zangu kuna wakati muombaji alikuwa anaongea na hayo 'mapepo' na kuuliza majina yao. (Kwa wenye imani ya kikristo wananielewa hapa) mara zoote ckuwahi kuckia wakijitambulisha kwa majina ya 'kikristo' kama vile Thomas, peter, jeska , mary n.k badala yake nilisikia majina ya 'kiislam' kama juma, Asha, Sharif, n.k. wakati waliokuwa wakiombewa ni wakristo.
Kwahiyo swali langu kwako JF MEMBER je wewe uliwahi kuskia majina yenye nasaba na 'ukristo' kutoka kwa ''mapepo?"
Pia kwa wale wasio amini ikiwa mungu yupo wanazungumza nini kuhusu haya "mapepo"
Pamoja na kuwepo kwa usanii mwingi siku hiz kwenye makanisa mbali mbali lakini ninaamini kuwa yapo majiin/ mapepo na wengine wakiita mashetani
Ninaamini hivyo kwasababu nikiwa mdogo, kulikuwa na 'dada' zangu waliokuwa wanasumbuliwa na hayo 'mapepo' na hivyo nilijiridhisha kuwa hakukuwa na 'usanii' pale.
Nimeeleza hayo kwasababu nina swali limenitatiza kwamba wakati wa maombezi kwa hao 'dada' zangu kuna wakati muombaji alikuwa anaongea na hayo 'mapepo' na kuuliza majina yao. (Kwa wenye imani ya kikristo wananielewa hapa) mara zoote ckuwahi kuckia wakijitambulisha kwa majina ya 'kikristo' kama vile Thomas, peter, jeska , mary n.k badala yake nilisikia majina ya 'kiislam' kama juma, Asha, Sharif, n.k. wakati waliokuwa wakiombewa ni wakristo.
Kwahiyo swali langu kwako JF MEMBER je wewe uliwahi kuskia majina yenye nasaba na 'ukristo' kutoka kwa ''mapepo?"
Pia kwa wale wasio amini ikiwa mungu yupo wanazungumza nini kuhusu haya "mapepo"
Jini sharif,maimuna,subian,dah kuna kapointi hapa ila subiri waje wenye majina yaoPamoja na kuwepo kwa usanii mwingi siku hiz kwenye makanisa mbali mbali lakini ninaamini kuwa yapo majiin/ mapepo na wengine wakiita mashetani
Ninaamini hivyo kwasababu nikiwa mdogo, kulikuwa na 'dada' zangu waliokuwa wanasumbuliwa na hayo 'mapepo' na hivyo nilijiridhisha kuwa hakukuwa na 'usanii' pale.
Nimeeleza hayo kwasababu nina swali limenitatiza kwamba wakati wa maombezi kwa hao 'dada' zangu kuna wakati muombaji alikuwa anaongea na hayo 'mapepo' na kuuliza majina yao. (Kwa wenye imani ya kikristo wananielewa hapa) mara zoote ckuwahi kuckia wakijitambulisha kwa majina ya 'kikristo' kama vile Thomas, peter, jeska , mary n.k badala yake nilisikia majina ya 'kiislam' kama juma, Asha, Sharif, n.k. wakati waliokuwa wakiombewa ni wakristo.
Kwahiyo swali langu kwako JF MEMBER je wewe uliwahi kuskia majina yenye nasaba na 'ukristo' kutoka kwa ''mapepo?"
Pia kwa wale wasio amini ikiwa mungu yupo wanazungumza nini kuhusu haya "mapepo"
Huyo ,zein zein nimhuni sana anabadili majina san sindo huyu kwasasa anaitwa eatel, mwehu kabisaMashetani aka Majini aka Mapepo yapo yameumbwa na Mungu kama tulivyoumbwa sisi Binaadamu.
Mungu kaumba MALAIKA, MAJINI na BINAADAMU ili wamuabudu tu, na sio chengine, na viumbe wasiomuabudu Mungu amewaekea adhabu kali
Marehemu Bibi yangu alikuwa hajui kusoma wala kuandika,lakini pale Shetani aka pepo anapokuwa amepanda kichwani kwake alikuwa anaweza kuongea kiarabu fasaha kabisa..
Marehemu Baba alikuwa ana uwezo wa kumwita jini wa Bibi, alipokuwa anamwita familia nzima inatakiwa wepo, Alikuwa ni jini wa famili, chakula chake kulikuwa, Asali, muwa, manda
Yule juni alikuwa anatusalimia kwa kutuzungusha shingo, kutunyoosha mkono huku Akisema "zein, zein", baba alikuwa anamwita jini wa Bibi pale anapokuwa anataka msaada wa kitu fulani..
Jini wa Bibi alikuwa na Uwezo mkubwa Sana, jina lake lilikuwa sio la kiarabu bali ni la kiswahili wa pwani, siku moja nilimsikia akisema wapi anatoka na yeye ni nani
Nilimsikia akisema yeye ni Mkuu wa Majini katoka sehemu fulani Pemba, vile vile alikuwa anawakilisha sehemu kubwa ya ufukwe wa Afrika Mashariki yaani, Mambasa, Unguja, Pemba, Kilwa..
Sitaki kutaja jina la huyu jini, kwakweli alikuwa na Uwezo wa ajabu Sana, uwezo wakuona na kutabiri, mambo mengi sana Alikuwa na Uwezo wa kuwaadhibu Majini wengine nk..
Haya mambo yapo, nimeyashuhudia mwenyewe, hivi viumbe vimeumbwa na Mungu,..
Yale tunayoyaona Makanisani ni "usanii", "utapeli",..huwezi kumtoa jini kwa kumpiga kelele, Majini wana vyakula vyao, wana njia zao za kuwaita na wana njia zao za kuwatoa,nimeyaona haya nikiwa na umri mdogo mpaka umri wa kumaliza Chuo
Tunatakiwa tujue kuwa hivi viumbe, ni kama sisi Binaadamu, wako wabaya na Wazuri, wako wanaomcha Mungu na wanaomuasi Mungu, lakini Wengi wao ni wa ha Mungu, wanaishi maisha marefu kuliko binaadamu
NA MAKATAJini maarufu ni "MAIMUNA".
majin wapo wa kila taifa kila Lugha wapo majin wanaopatikana maeneo flan tu africa hawapo kabisa wapo wanaopatikana africa tu sehem zingine hawapo...kuna elimu kinwa juu ya viumbe hawa muda na sehem hii haitoshiNilichojifuza hapa
MAJINI WOTE NI WAARABU
Mkuu nasema ni waarabu kwasababumajin wapo wa kila taifa kila Lugha wapo majin wanaopatikana maeneo flan tu africa hawapo kabisa wapo wanaopatikana africa tu sehem zingine hawapo...kuna elimu kinwa juu ya viumbe hawa muda na sehem hii haitoshi
Na ndio maana Quran mpaka tutakufa itabaki kwenye Asili yake ya Kiarabu. Ingekuwa inatafsiriwa na kupoteza uhalisia wake ungeweza kuwapotosha wengi sana hapa.'Sikuwaumba majini na watu ili wapate kuniabudu', maana yake 'Sikuwaumba watu wa hadhi ya juu na hadhi ya kawaida (Matajiri na Masikini, wazuri au wabaya n.k) ili waniabudu'.
acha tu ndugu yangu jamaa kayumba sana.! nimempa historia ya majinnNa ndio maana Quran mpaka tutakufa itabaki kwenye Asili yake ya Kiarabu. Ingekuwa inatafsiriwa na kupoteza uhalisia wake ungeweza kuwapotosha wengi sana hapa.
Tangulini Jini maana yake ni mtu mwenye hadhi kubwa.
Kuna maelezo ya aina mbili kuhusu majini kutoka kwenye vitabu vya dini,wengine wanasema majini asili yao ni malaika(wale malaika waliyoasi) na wengine wanasema asili yao ni moto na majini ni viumbe(tofauti na malaika na binaadamu) vilivyo na Mungu kwa sababu zile zile walizoumbiwa binaadamu.Nilichojifuza hapa
MAJINI WOTE NI WAARABU
Malaika alivyoumba nature yake hawez kuasi hana Option hiyo Jinn ni kiumbe kingine,Malaika ni kiumbe kingine na mtu ni kitu kingine...Mtu kaumbwa kwa udongo,Malaika kaumbwa kwa Nuru na Jinni kaumbwa kwa miale ya Moto...Kasomen surat rahman Allha ameelezea uumbaji wa wa hivyo viumbeKuna maelezo ya aina mbili kuhusu majini kutoka kwenye vitabu vya dini,wengine wanasema majini asili yao ni malaika(wale malaika waliyoasi) na wengine wanasema asili yao ni moto na majini ni viumbe(tofauti na malaika na binaadamu) vilivyo na Mungu kwa sababu zile zile walizoumbiwa binaadamu.