Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,548
- 7,486
'Jiin ana uwezo much far kuliko bin adam'
Thibitisha hayo maelezo acha kuzunguka
NNaona kuna tukio limekufanya ukawa puzzled kwa hiyo unajaribu kufanya utafiti kujua nini kilitokea, hujaelewa kwa sababu haikutokea kawaida kama wewe unavyojua siku zote. Na utakuwa puzzled zaidi, bado hujaona mechi ya Yesu inavyochezwa, wait and see. Endelea na utafiti wako