Msituletee upuuzi hapa. Kama hamna la maana bora muende tu. Majina ya Kisukuma yamehusu nini humu. Eti wengine majina ya MAPUMBU wengine majina MAVUTU. Msituletee ukabila hapa JF. PUMBAFFFFF.
jamani madako si ni ******? mh!! sijawahi sikia jina kama hiliNg`wani Ifuzi Madako.
jamani madako si ni ******? mh!! sijawahi sikia jina kama hili
inshorth nimecheka sana mie ni msukuma lkn sikuyajua haya yote
Kasema, Buki Bululu, Ng'hingi, Wa Magembe, Mipawa, Manara, Lyaku, Matangazo, Maziku, Misana..........
Ng'wanangwa siyo JINA jamani ila ni Cheo.
Ni Watoto wa Chief ambao wanakuwa wamepewa kutawala vijiji vilivyo chini ya Himaya ya Chief wa eneo hilo.
Kwa mfano Sikonge ilikuwa chini ya Chief Lugusha na wale watawala wa vijiji kama Uta wa Mbogo, Utyautya, Tumbili, Kaniamsenga nk wanakuwa wanaitwa WANANG'WA.
Msituletee upuuzi hapa. Kama hamna la maana bora muende tu. Majina ya Kisukuma yamehusu nini humu. Eti wengine majina ya MAPUMBU wengine majina MAVUTU. Msituletee ukabila hapa JF. PUMBAFFFFF.
ogundyaga miso gete gwaleho nkela.angu pumbafffff.nan'ho olojisoga neyo oye gete etuja yako onigwa nyandebhe?
sijambo kabisa, wewe je?Lady hujambo?
utakufa kabla ya wakati wako kwa msongo wa mawazo, relax ndugu usicomplicate maisha kiasi hicho, afu sio lazima usome na kucoment kila sred, heading yenyewe ilishakuonyesha ni ya ukabila ulisomea nini?Msituletee upuuzi hapa. Kama hamna la maana bora muende tu. Majina ya Kisukuma yamehusu nini humu. Eti wengine majina ya MAPUMBU wengine majina MAVUTU. Msituletee ukabila hapa JF. PUMBAFFFFF.