Ismael,
Pana wakati ndugu yake Mwandishi wa vitabu na yeye pia anaitwa katalambula aliniandikia hiki kisa ingawa nilishakisikia zamani kabla yake;
"Baba kanunua balls za ng'ombe na kuamua kuzibanika nyama choma. Akatembelewa na rafiki zake na hivyo akamwacha kijana wake akizichunga. Ghafla akiwa kwenye mazungumzo, kijana kaja mbio mbele ya wageni huku akipiga kelele ..........Baba, mat*nya ginywe gaziga................."