Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
Inyele vipi mkuu upo sawa lakini? Mbona umeguna na kushusha punzi kwa nguvu sana kama mtu aliyekua anapiga chabo vile😎😎😀😀?
Nko sawa mkuu,,, ila nimeogopa kidogo kwenye kukazia kwa nguvuInyele vipi mkuu upo sawa lakini? Mbona umeguna na kushusha punzi kwa nguvu sana kama mtu aliyekua anapiga chabo vile😎😎😀😀?
Hahahaaa, inawezaleta shida nini mkuu?
Duh! Asee mkuu kuna kaukakasi kidogo hapo so inawezleta shida kweli eti!!Hahahaaa, inawezaleta shida nini mkuu?
😀😀😀, Japo mwenyewe kaichukulia poa lakini mkuuDuh! Asee mkuu kuna kaukakasi kidogo hapo so inawezleta shida kweli eti!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha,, kweli mkuu mhusika kachukulia poa sana kitendo kilichonifanya niduwae zaidi😀😀😀, Japo mwenyewe kaichukulia poa lakini mkuu
Basi kausha mkuu😎😎😎Hahaha,, kweli mkuu mhusika kachukulia poa sana kitendo kilichonifanya niduwae zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app