Majina mapya ya wadada wenye wowowo kubwa...

Majina mapya ya wadada wenye wowowo kubwa...

Basi bwana, tukadondoka Moshi Mjini kufuatilia vitu flani hivi amazing nini,

Kushuka kwenye gari tunatembea na dadangu tukasikia wanaume wanasema:
"Engeneer Soma iyoooo!!, We Engeneer ngapiiii iyooo?!"

Nikacheka sana, nikawaza kwa kujiuliza kwani sikuhizi wadada wenye wowowo kubwa wanaitwa Engeneer soma iyo au?!

Unajua nimekaa sana ndani sielewi misemo mipya ya mtaani tena!

Embu nipeni Mapya bado naomboleza msiba wa mama yangu
Ila ya Engeneer yamenishangaza!

Wengine wanasema "nyumba ni choo"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikokotoo ukitoe wapi we TAPELI RUDISHA PESA ZA WATU MBWA WEWE
Hivi umenijibu mm au reply yako imeenda kwa mtu tofauti kaaaah! Sio kwa kuniita tapeli mbona sina sifa hizo mkuu wangu ila nashukuru kwa yote
 
Basi bwana, tukadondoka Moshi Mjini kufuatilia vitu flani hivi amazing nini,

Kushuka kwenye gari tunatembea na dadangu tukasikia wanaume wanasema:
"Engeneer Soma iyoooo!!, We Engeneer ngapiiii iyooo?!"

Nikacheka sana, nikawaza kwa kujiuliza kwani sikuhizi wadada wenye wowowo kubwa wanaitwa Engeneer soma iyo au?!

Unajua nimekaa sana ndani sielewi misemo mipya ya mtaani tena!

Embu nipeni Mapya bado naomboleza msiba wa mama yangu
Ila ya Engeneer yamenishangaza!


shambulizi la aibu hilo mkuu
 
Basi bwana, tukadondoka Moshi Mjini kufuatilia vitu flani hivi amazing nini,

Kushuka kwenye gari tunatembea na dadangu tukasikia wanaume wanasema:
"Engeneer Soma iyoooo!!, We Engeneer ngapiiii iyooo?!"

Nikacheka sana, nikawaza kwa kujiuliza kwani sikuhizi wadada wenye wowowo kubwa wanaitwa Engeneer soma iyo au?!

Unajua nimekaa sana ndani sielewi misemo mipya ya mtaani tena!

Embu nipeni Mapya bado naomboleza msiba wa mama yangu
Ila ya Engeneer yamenishangaza!


Njoo inbobo kuna mtu hapa anapenda watu wenye wowo kama wewe.
Biashara matakangazo hasa FB an Insta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom