Majina mapya ya wadada wenye wowowo kubwa...

Majina mapya ya wadada wenye wowowo kubwa...

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
18,204
Reaction score
17,561
Basi bwana, tukadondoka Moshi Mjini kufuatilia vitu flani hivi amazing nini,

Kushuka kwenye gari tunatembea na dadangu tukasikia wanaume wanasema:

"Engeneer Soma iyoooo!!, We Engeneer ngapiiii iyooo?!"

Nikacheka sana, nikawaza kwa kujiuliza kwani sikuhizi wadada wenye wowowo kubwa wanaitwa Engeneer soma iyo au?!

Unajua nimekaa sana ndani sielewi misemo mipya ya mtaani tena!

Embu nipeni Mapya bado naomboleza msiba wa mama yangu
Ila ya
Engeneer yamenishangaza!

 
Basi bwana, tukadondoka Moshi Mjini kufuatilia vitu flani hivi amazing nini,

Kushuka kwenye gari tunatembea na dadangu tukasikia wanaume wanasema:
"Engeneer Soma iyoooo!!, We Engeneer ngapiiii iyooo?!"

Nikacheka sana, nikawaza kwa kujiuliza kwani sikuhizi wadada wenye wowowo kubwa wanaitwa Engeneer soma iyo au?!

Unajua nimekaa sana ndani sielewi misemo mipya ya mtaani tena!

Embu nipeni Mapya bado naomboleza msiba wa mama yangu
Ila ya Engeneer yamenishangaza!
Pole sana.
 
Basi bwana, tukadondoka Moshi Mjini kufuatilia vitu flani hivi amazing nini,

Kushuka kwenye gari tunatembea na dadangu tukasikia wanaume wanasema:
"Engeneer Soma iyoooo!!, We Engeneer ngapiiii iyooo?!"

Nikacheka sana, nikawaza kwa kujiuliza kwani sikuhizi wadada wenye wowowo kubwa wanaitwa Engeneer soma iyo au?!

Unajua nimekaa sana ndani sielewi misemo mipya ya mtaani tena!

Embu nipeni Mapya bado naomboleza msiba wa mama yangu
Ila ya Engeneer yamenishangaza!


We mbona huna wowowo
Labda huyo dadaako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom