Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
- Thread starter
- #61
Engeneeer ngapiiiSoma tena, huyu engineer asije kutuingiza mgenge hapa. Hahaha
Engeneeer ngapiiiSoma tena, huyu engineer asije kutuingiza mgenge hapa. Hahaha
Wapambe buana wanajifanya wananijuaaaha ha ha!
Nenda Kwa website yangu utanionaSo mamyloo unataka kutwambia unalo zigo la kushato apo fas??!Letaga maphoto tuone asee!!
Hahahahahaengineer soma hiyooooo.........ni kwa vile nimestaafu ningekuja kusoma hiyo maneno aisee
HahahahaEngeneeer ngapiii
Bila ka picha kako Cha nyuma Basi itabidi ili tangazo ukalilipie engineerBasi bwana, tukadondoka Moshi Mjini kufuatilia vitu flani hivi amazing nini,
Kushuka kwenye gari tunatembea na dadangu tukasikia wanaume wanasema:
"Engeneer Soma iyoooo!!, We Engeneer ngapiiii iyooo?!"
Nikacheka sana, nikawaza kwa kujiuliza kwani sikuhizi wadada wenye wowowo kubwa wanaitwa Engeneer soma iyo au?!
Unajua nimekaa sana ndani sielewi misemo mipya ya mtaani tena!
Embu nipeni Mapya bado naomboleza msiba wa mama yangu
Ila ya Engeneer yamenishangaza!
hahahaha.......unataka uje inichune kikokotooo changu!!Hahahahaha
Ushapata kikokotooo au
Unataka kutuaminisha kuwa una kalio kubwa wakati flat screen, hatuingii mkenge kirahisi hivyo jipange upya.Basi bwana, tukadondoka Moshi Mjini kufuatilia vitu flani hivi amazing nini,
Kushuka kwenye gari tunatembea na dadangu tukasikia wanaume wanasema:
"Engeneer Soma iyoooo!!, We Engeneer ngapiiii iyooo?!"
Nikacheka sana, nikawaza kwa kujiuliza kwani sikuhizi wadada wenye wowowo kubwa wanaitwa Engeneer soma iyo au?!
Unajua nimekaa sana ndani sielewi misemo mipya ya mtaani tena!
Embu nipeni Mapya bado naomboleza msiba wa mama yangu
Ila ya Engeneer yamenishangaza!
Kikokotoo ukitoe wapi we TAPELI RUDISHA PESA ZA WATU MBWA WEWEhahahaha.......unataka uje inichune kikokotooo changu!!
Kalipie mwenyeweBila ka picha kako Cha nyuma Basi itabidi ili tangazo ukalilipie engineer
Hapanahahahaha.......unataka uje inichune kikokotooo changu!!
Kajipange mwenyewe Acha utuyuUnataka kutuaminisha kuwa una kalio kubwa wakati flat screen, hatuingii mkenge kirahisi hivyo jipange upya.
Sent using Jamii Forums mobile app
UuuuwiKikokotoo ukitoe wapi we TAPELI RUDISHA PESA ZA WATU MBWA WEWE
Ngapiii iyooo
Yes I'm in,Welcome to my world