D Daady Member Jul 22, 2010 64 19 Jan 13, 2013 #1 Nimetafakari sana hili bila kuwa na jibu; Hivi ni kwanini tunazuiwa kutoa maoni ya kuhusu katiba mpya bila kutaja UMRI, MAJINA KAMILI NA JINSIA??? Kwanini UMRI? kwanini MAJINA KAMILI? kwanini JINSIA? Ni kweli ni vitu vya lazima?
Nimetafakari sana hili bila kuwa na jibu; Hivi ni kwanini tunazuiwa kutoa maoni ya kuhusu katiba mpya bila kutaja UMRI, MAJINA KAMILI NA JINSIA??? Kwanini UMRI? kwanini MAJINA KAMILI? kwanini JINSIA? Ni kweli ni vitu vya lazima?