mm namkubali sana kaka jambazi hadi wakina musa na kibonde wanamtajaga kwenye jahazi au mwenye hyo id yupo clous wanamjua?
Mkuu ningekua clouds, wangeshanifukuza, make mi ni CHADEMA.
Afu kuchapwanao ni matusi aisee, sijui kwanini ID yako imeruhusiwa humu.
mkuu neno lolote ni tusi kutokana na definition utakalolipa kwenye kichwa chako PIA NA WEWE UNATAKIWA UKAMATWE HARAKA NA POLISI.........
miss chagga
Masai dada, miss chaga na Chokonoa