Bujibuji,
Kila mtu humu ni unique
sure na yana 7bu ya kuwa hivyo, like Mkoroshokigoli ni kituo cha basi somewhere in Mkuranga,pia kuna chupi la mwali
Kila mtu humu ni unique
sure na yana 7bu ya kuwa hivyo, like Mkoroshokigoli ni kituo cha basi somewhere in Mkuranga,pia kuna chupi la mwali
hahahahahahahaha haya bwana
ILA HILI NDO JINA LA NYUMBANI SEMA WAMEMODIFIE KIDOGO NINATWA YEYOOO
kuna msingi kiuno very funny id
Mi namkubali #EvelynSalt jina simple, mtoto mzuri kajaaliwa na Mwenyezi Mungu Uzuri ambao yamkini mwenyewe mimi tu Mungu ndo kanionyesha dah....Mwacheni Mungu aitwe Mungu yaaani.
mkuu neno lolote ni tusi kutokana na definition utakalolipa kwenye kichwa chako PIA NA WEWE UNATAKIWA UKAMATWE HARAKA NA POLISI.........