Majina 5900 Walioitwa Kwenye Usahili Dodoma

Mayunga234

JF-Expert Member
Feb 17, 2017
1,726
1,989
Majina 5900 walioitwa kwenye Usahili Dodoma dah
Na wanaohitajika ni 100 tu kati ya hao 5900 Jiulize wangapi watatoboa

Then ukiangalia mikoa mingine hamna watu wengi kiivyo ila watu wamekimbilia Dodoma kama vile ndo wanaajiriwa permanent
Watu wakiskia kazi Dodoma wanaona kama vile wanaenda kufanya kazi Ikulu kila mtu anakimbilia huko Matokeo yake ndo haya watu 5900 na wanahitajika ni 100

Ukiangalia Mikoa mingine inatoa same amount of money na population ni ya kawaida na kunahitaji watu wengi wa kufanya hilo zoezi ila wala wao wanakimbilia Dodoma

Ndo maana mnakosaga kazi hivi kwa kukimbilia sehemu ambazo population ni Kubwa

Mtu anatoka Mtwara anaenda Dodoma kuomba kazi postcode kweli na mtwara zipo hizo kazi

Kazi kwenu Mwishoe mlogane huko watu waende kwenye usahili wamevaa mairizi kila elfu 30
 
Wanafanya hadi wakazi halisi wa dodoma wakose hzo nafasi sasa wkt mikoa ya karibu kma Tanga,Kilimanjaro watu wachache
Yan hapa nazani wamevutiwa na pesa hyo 30000 kwa siku afu siku 45 kwaio wameona mikoa mingine km pesa kidogo
 
Kwa ambao wmeshafanya watupe update kdgo jmn
BAADHI YA MASWALI YA INTERVIEW YA POSTIKODI

1. Explain what is Postal Code.

2. Difference between Longitude and Latitude.
i) Difference between Street and Road.
ii) Difference between House and Household.

3. What is the method used to avoid COVID-19?

---------------------------------------

1. Eleza historia yako kwa ufupi.

2. Andika takwimu za namba 1 hadi 10.

3. Rais wa Tanzania anaitwa nani?

4. Eleza maana ya:
  • Barabara
  • Kata
  • Postikodi
  • Anwani
  • Mmiliki

5. Zoezi la kukusanya taarifa unahusiana na sena?

6. Barua ya kirafiki ina vipengele vingapi?

------------------------------------------

1. Mtendaji wako wa Mtaa anaitwa nani?

2. Mwemyekiti wako anaitwa nani?

3. Kata yenu ina vitongoji vingapi?

4. Diwani wako anaitwa nani?

5. Kata yako ina mitaa mingapi?

6. Ofisi za Kata zipo mtaa gani?

------------------------------------------

Best Wishes..
 
BAADHI YA MASWALI YA INTERVIEW YA POSTIKODI

1. Explain what is Postal Code.

2. Difference between Longitude and Latitude.
i) Difference between Street and Road.
ii) Difference between House and Household.

3. What is the method used to avoid COVID-19?

---------------------------------------

1. Eleza historia yako kwa ufupi.

2. Andika takwimu za namba 1 hadi 10.

3. Rais wa Tanzania anaitwa nani?

4. Eleza maana ya:
  • Barabara
  • Kata
  • Postikodi
  • Anwani
  • Mmiliki

5. Zoezi la kukusanya taarifa unahusiana na sena?

6. Barua ya kirafiki ina vipengele vingapi?

------------------------------------------

1. Mtendaji wako wa Mtaa anaitwa nani?

2. Mwemyekiti wako anaitwa nani?

3. Kata yenu ina vitongoji vingapi?

4. Diwani wako anaitwa nani?

5. Kata yako ina mitaa mingapi?

6. Ofisi za Kata zipo mtaa gani?

------------------------------------------

Best Wishes..
Noted.
 
BAADHI YA MASWALI YA INTERVIEW YA POSTIKODI

1. Explain what is Postal Code.

2. Difference between Longitude and Latitude.
i) Difference between Street and Road.
ii) Difference between House and Household.

3. What is the method used to avoid COVID-19?

---------------------------------------

1. Eleza historia yako kwa ufupi.

2. Andika takwimu za namba 1 hadi 10.

3. Rais wa Tanzania anaitwa nani?

4. Eleza maana ya:
  • Barabara
  • Kata
  • Postikodi
  • Anwani
  • Mmiliki

5. Zoezi la kukusanya taarifa unahusiana na sena?

6. Barua ya kirafiki ina vipengele vingapi?

------------------------------------------

1. Mtendaji wako wa Mtaa anaitwa nani?

2. Mwemyekiti wako anaitwa nani?

3. Kata yenu ina vitongoji vingapi?

4. Diwani wako anaitwa nani?

5. Kata yako ina mitaa mingapi?

6. Ofisi za Kata zipo mtaa gani?

------------------------------------------

Best Wishes..

Unadhani watarud haya haya sasa si watapata wote hahahahaha
 
BAADHI YA MASWALI YA INTERVIEW YA POSTIKODI

1. Explain what is Postal Code.

2. Difference between Longitude and Latitude.
i) Difference between Street and Road.
ii) Difference between House and Household.

3. What is the method used to avoid COVID-19?

---------------------------------------

1. Eleza historia yako kwa ufupi.

2. Andika takwimu za namba 1 hadi 10.

3. Rais wa Tanzania anaitwa nani?

4. Eleza maana ya:
  • Barabara
  • Kata
  • Postikodi
  • Anwani
  • Mmiliki

5. Zoezi la kukusanya taarifa unahusiana na sena?

6. Barua ya kirafiki ina vipengele vingapi?

------------------------------------------

1. Mtendaji wako wa Mtaa anaitwa nani?

2. Mwemyekiti wako anaitwa nani?

3. Kata yenu ina vitongoji vingapi?

4. Diwani wako anaitwa nani?

5. Kata yako ina mitaa mingapi?

6. Ofisi za Kata zipo mtaa gani?

------------------------------------------

Best Wishes..
Shukrani sana naanza kuzfanyia kazi
 
Hapana sio kwamba wanatoka kwenda dodoma, population ya dodoma imekua na kwa kazi kuanzia form iv iyo idadi iyo ni ndogo
 
Toba
BAADHI YA MASWALI YA INTERVIEW YA POSTIKODI

1. Explain what is Postal Code.

2. Difference between Longitude and Latitude.
i) Difference between Street and Road.
ii) Difference between House and Household.

3. What is the method used to avoid COVID-19?

---------------------------------------

1. Eleza historia yako kwa ufupi.

2. Andika takwimu za namba 1 hadi 10.

3. Rais wa Tanzania anaitwa nani?

4. Eleza maana ya:
  • Barabara
  • Kata
  • Postikodi
  • Anwani
  • Mmiliki

5. Zoezi la kukusanya taarifa unahusiana na sena?

6. Barua ya kirafiki ina vipengele vingapi?

------------------------------------------

1. Mtendaji wako wa Mtaa anaitwa nani?

2. Mwemyekiti wako anaitwa nani?

3. Kata yenu ina vitongoji vingapi?

4. Diwani wako anaitwa nani?

5. Kata yako ina mitaa mingapi?

6. Ofisi za Kata zipo mtaa gani?

------------------------------------------

Best Wishes..
 
Sasa kwanini hujafikiria kwamba sasahivi vyuo hapo DOM vimefungwa? Na wengine wamebaki hapo hapo hawajaenda makwao? Nadhani ndio imeongeza wingi wa watu
 
Back
Top Bottom