Ama kweli kazi ya kuelimisha wadanganyika ni nzito mno. At least umeona kitu kwamba Ndesamburo kanunua ambulance. Tukisema wabunge wa CCM pengine uwezo wao wa kutambua matatizo ya wananchi wao ni mdogo sana. Tuanze na JK, kapeleka ambulance ngapi bagamoyo ( kukuonyesha wasivyoijua hata jiografia ya nchi yao, JK kaahidi bajaji 400 ambulance!!!!!!!!!??????). Wataje uwajuao walioleta japo pikipiki za kusaidia wagonjwa majimboni mwao.
Sera ya ubinafsishaji ndugu yetu ilianzishwa na serikali ya CCM, viwanda vyenu Moshi viliuzwa kutokana na sera hiyo. Mbunge hahusiki na ubinafsishaji wa viwanda.
Isitoshe mbunge ni mjumbe katika vikao vya halmashauri, hivyo maamuzi yote halali ya baraza la madiwani mbunge anahusika. Hivyo usafi wa mji una mchango wa mbunge ndugu.
Na ili kukutoa tongotongo usoni, kumbuka kwa asilimia 90 ya majimbo yaliyoongozwa na chadema mafanikio yameonekana dhahiri, angalia vipindi vya tv na vyombo mbalimbali utajionea. Na kama uko mbali navyo just peruuuzi ktk tovuta mbalimbali. See for yourself; Karatu (ni karibu na Moshi tembeleaujionee), fananisha na Babati ambayo imepewa hadhi ya mji kutokana na kuwa makao makuu ya mkoa. Nenda Tarime (waulize wanalipia kiasi gani elimu?). Nenda Kigoma (Uliza matatizo yao ya umeme yametatuliwa ama bado!! Tatizo la barabara ya lami kuwaunganisha na mikoa mingine je?), nenda mpanda jimbo la Arfi waulize wanaongelea nini kuhusu uamuzi wao wa kuichagua chadema? Majimbo manne tu kwa miaka mitano great changes. CCM majimbo 200 ndani ya miaka 50 loooo aibu. Pengine huelewi ndugu, Jaribu kutembelea Tunduru, Tandahimba, Kiteto na kwingineko, utalia. A lot of opportunities, great poverty rate. Mji una mabomba matatu ya maji ya jumuia. Pitia riport za wakaguzi, ubadhirifu wa hali ya kutisha. Hakuna na kuwajibishwa. Hospitali hazina dawa huoni ni tatizo. Je, na hili la kupambana na mbu Muhimbili tunahitaji wafadhili???? Yawezekana unafaidika na ufedhuli huo, lakini think about your brothers and sisters who are dying from cureble diseases bse of luck of medicine, while somebody is bosted thyself "vijisenti" and nobody asking on how he got hivyo vijisenti. People die of diarrhoea because of drinking dirty water.
I call upon you and most of the sleeping partners of yours ma friend, our country is in riddiculous situation, let us dont drive it into dipsomaniac. For the sake of our country and your lovely part CCM, VOTE FOR DR. SLAA. Your VOTE is the liberation of youself, your family, your relatives, your party and the entire community of the peoples of the United Republic of Tanzania.