Future president
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 144
- 39
Naupenda upinzani unaoneshwa na cdm japo si mwana cdm mana wana wabunge makini,ila watu husema wanamsaada sana na matatizo ya taifa kuliko majimboni kwao,hii ikanipa hofu sana kama je wangapi watarudi majimboni kwao 2015,kuna watu hutabiri majimbo yanayoshikiliwa na hao yapo kwenye hatari msigwa,tundu lissu,mnyika,mdee halima,je kama mtanzania embu tushauri kitu katika kuimairasha upinzani tz