Majiji ya Dar es Salaam na Mbeya yaongoza kwa kuchangia pato la Taifa

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,961
141,956
Jiji la Dsm linaongoza kwa kuwa la kwanza kwa kuchangia kiasi kikubwa katika pato la taifa ikifuatiwa na jiji la Mbeya ambalo linashika nafasi ya pili. Hayo yameelezwa na Mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Amos Makala katika kongamano la fursa linalodhaminiwa na kampuni ya Tigo na kuendeshwa na CMG. Kongamano hilo lilihudhuriwa pia na Naibu Spika Dr Tulia Ackson. Source Clouds Tv habari!
 
Jiji la Dsm linaongoza kwa kuwa la kwanza kwa kuchangia kiasi kikubwa katika pato la taifa ikifuatiwa na jiji la Mbeya ambalo linashika nafasi ya pili. Hayo yameelezwa na Mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Amos Makala katika kongamano la fursa linalodhaminiwa na kampuni ya Tigo na kuendeshwa na CMG. Kongamano hilo lilihudhuriwa pia na Naibu Spika Dr Tulia Ackson. Source Clouds Tv habari!
Kwa kuuza madawa ya mwenyekiti
 
Uelewa wa mambo ni janga la taifa hapa TZ. Watu wameshaaminishwa kuwa uchumi = mapato ya serikali.

Hata siku moja haiwezi ikatokeauchumi wa Mbeya ukaupiku Mwanza au Arusha. Sema tu kuwa !beya kuna boda kubwa ya Tunduma inayochangia mapayo mengi ya serikali. Nje ya hapo, bado uchumi Tanzania unachangiwa na Dar, Mwanza, Arusha, Kilimanjaro... halafu wanafuata akina Mbeya na wengine.
 
Majiji yote yanaongozwa na upinzani,
Kama jiji la Mbeya lina mchango mkubwa kiasi hiki kwanini haliendelezwi/kujengwa kisasa kama majiji mengine?
 
Uelewa wa mambo ni janga la taifa hapa TZ. Watu wameshaaminishwa kuwa uchumi = mapato ya serikali.

Hata siku moja haiwezi ikatokeauchumi wa Mbeya ukaupiku Mwanza au Arusha. Sema tu kuwa !beya kuna boda kubwa ya Tunduma inayochangia mapayo mengi ya serikali. Nje ya hapo, bado uchumi Tanzania unachangiwa na Dar, Mwanza, Arusha, Kilimanjaro... halafu wanafuata akina Mbeya na wengine.
Tunduma haipo mkoa wa Mbeya ipo mkoa wa Songwe
 
Uelewa wa mambo ni janga la taifa hapa TZ. Watu wameshaaminishwa kuwa uchumi = mapato ya serikali.

Hata siku moja haiwezi ikatokeauchumi wa Mbeya ukaupiku Mwanza au Arusha. Sema tu kuwa !beya kuna boda kubwa ya Tunduma inayochangia mapayo mengi ya serikali. Nje ya hapo, bado uchumi Tanzania unachangiwa na Dar, Mwanza, Arusha, Kilimanjaro... halafu wanafuata akina Mbeya na wengine.
Kwani hiyo mipaka sio sehemu ya mbeya??
 
Uelewa wa mambo ni janga la taifa hapa TZ. Watu wameshaaminishwa kuwa uchumi = mapato ya serikali.

Hata siku moja haiwezi ikatokeauchumi wa Mbeya ukaupiku Mwanza au Arusha. Sema tu kuwa !beya kuna boda kubwa ya Tunduma inayochangia mapayo mengi ya serikali. Nje ya hapo, bado uchumi Tanzania unachangiwa na Dar, Mwanza, Arusha, Kilimanjaro... halafu wanafuata akina Mbeya na wengine.

TUNDUMA haiko mbeya mkuu! ipo mkoa Wa songwe.
 
Uelewa wa mambo ni janga la taifa hapa TZ. Watu wameshaaminishwa kuwa uchumi = mapato ya serikali.

Hata siku moja haiwezi ikatokeauchumi wa Mbeya ukaupiku Mwanza au Arusha. Sema tu kuwa !beya kuna boda kubwa ya Tunduma inayochangia mapayo mengi ya serikali. Nje ya hapo, bado uchumi Tanzania unachangiwa na Dar, Mwanza, Arusha, Kilimanjaro... halafu wanafuata akina Mbeya na wengine.
Upo sahihi
 
Jiji la Dsm linaongoza kwa kuwa la kwanza kwa kuchangia kiasi kikubwa katika pato la taifa ikifuatiwa na jiji la Mbeya ambalo linashika nafasi ya pili. Hayo yameelezwa na Mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Amos Makala katika kongamano la fursa linalodhaminiwa na kampuni ya Tigo na kuendeshwa na CMG. Kongamano hilo lilihudhuriwa pia na Naibu Spika Dr Tulia Ackson. Source Clouds Tv habari!
Huyo makala muongo kabisa mkoa wa mwanza ndio wapili kwa mapato,ukichukulia viwanda mbeya inaviwanda vikubwa viwili yani cement,cocacola.
Wakt mwanza kuna viwanda zaidi ya 30 kuna tbl,serengeti brew,pepsi,cocacola,viwanda vya minofu ya samaki 7,ginneries za pamba,.kiwanda cha vitu vya plastic victoria etc halafu eti mbeya ndio izidi mapato mwanza aache uwongo
 
Huyo makala muongo kabisa mkoa wa mwanza ndio wapili kwa mapato,ukichukulia viwanda mbeya inaviwanda vikubwa viwili yani cement,cocacola.
Wakt mwanza kuna viwanda zaidi ya 30 kuna tbl,serengeti brew,pepsi,cocacola,viwanda vya minofu ya samaki 7,ginneries za pamba,.kiwanda cha vitu vya plastic victoria etc halafu eti mbeya ndio izidi mapato mwanza aache uwongo
CCM ni waongo sana
 
Back
Top Bottom