Majigambo Ya Nay Wa Mitego!!

Majigambo Ya Nay Wa Mitego!!

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
Anaanza "mimi ndo msanii pekee ninayefanya Hip Hop, wengine sijui wanafanya nini" anaendelea "namsaka mwanangu roma naona kapotea" anaenda mbali zaidi anasema "hivi lile goli kala alipatia?".
NOTE: Huyu jamaa ataacha lini kujitapa na kuwaponda wasanii wenzake, kana kwamba ye ndo anajua sana? Au ndo Hip Hop yenyewe hiyo?
Source: Wimbo Wake.
 
Jamaa ana itikadi za kishamba huyo, dawa yake ni kumpotezea tu.
 
Hakujua kama atatoka huyo! Na kama bado anahisi anachoimba ni hiphop, basi inabidi arudi shule ajifunze maana halisi ya hiphop.
 
Iyo anayofanya ni Dar hippop,kuna tofauti sana na Hip-Hop ya watu kama Hashim dogo mwana haramu
 
Anaanza "mimi ndo msanii pekee ninayefanya Hip Hop, wengine sijui wanafanya nini" anaendelea "namsaka mwanangu roma naona kapotea" anaenda mbali zaidi anasema "hivi lile goli kala alipatia?".
NOTE: Huyu jamaa ataacha lini kujitapa na kuwaponda wasanii wenzake, kana kwamba ye ndo anajua sana? Au ndo Hip Hop yenyewe hiyo?
Source: Wimbo Wake.

Subiri kichapo kwa Kalapina
 
Hakujua kama atatoka huyo! Na kama bado anahisi anachoimba ni hiphop, basi inabidi arudi shule ajifunze maana halisi ya hiphop.

Album moja ya Fid Q ni darasa tosha kwake.
 
Subiri kichapo kwa Kalapina

haha.. ila huyu jamaa siku hizi kapunguza sana kugawa dozi, nakumbuka mara ya mwisho chidi alikutana na dhahama la huyu jamaa, na ilikuwa mwaka jana akiwa stejini.
 
Anaanza "mimi ndo msanii pekee ninayefanya Hip Hop, wengine sijui wanafanya nini" anaendelea "namsaka mwanangu roma naona kapotea" anaenda mbali zaidi anasema "hivi lile goli kala alipatia?".
NOTE: Huyu jamaa ataacha lini kujitapa na kuwaponda wasanii wenzake, kana kwamba ye ndo anajua sana? Au ndo Hip Hop yenyewe hiyo?
Source: Wimbo Wake.


Wimbo wenye mistari hiyo unaitwajwe!??
 
Sahar ndo nimeusikia leo, jina limenitoka.
 
Last edited by a moderator:
Hivi Chid Benz sijui Suzuki yuko wapi siku hizi au ameshika adabu baada ya kichapo cha Wazee wa kikosi cha Mizinga?
 
haha.. ila huyu jamaa siku hizi kapunguza sana kugawa dozi, nakumbuka mara ya mwisho chidi alikutana na dhahama la huyu jamaa, na ilikuwa mwaka jana akiwa stejini.

Mkuu anamtafuta sana huyu subiri utasikia..
 
ney wa mitego sio msanii wa hip hop anajifanya tu
hana punchline yeye anaropoka kama anakunya
hana vina vya kati wala mwisho
freestyle hawezi
sio dj
break dance hawezi
sasa sijui kaegemea nguzo ipi ya hip hop?
au hip hop yake ya kubeba chuma na tatoo fake kama walivyosema godzilla na nikki mbishi
huyu ni muimbaji kama waimbaji wengine
atuachie mziki wetu wa hip hop full stop
 
Shule, darasa la saba ya kimanati manati + maisha ya uswazi = Ulumbukeni wa hali ya juu. Tumsamehe bure tu.
 
Wanga tu nyie ndo sty take hiyo mpotezeeni tu.
 
Back
Top Bottom