Chambo81
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 441
- 200
Hata mchwa na ndege wamejenga....hapa tunazungumzia hip hop halisi,hata isha mashauzi amejenga lakini huwezi kumjumuisha na kalapina au jay mo kama wana hip hop.angalau dogo kajenga, kalapina jee?
Hata mchwa na ndege wamejenga....hapa tunazungumzia hip hop halisi,hata isha mashauzi amejenga lakini huwezi kumjumuisha na kalapina au jay mo kama wana hip hop.angalau dogo kajenga, kalapina jee?
Ney anaimba taarabu ya kigumu.
nilishajiuzuru kusikiliza bongo flava.niko international zaidi,am going crazy with Nas,Fat Joe,Game,Xbit,etc
Hata mchwa na ndege wamejenga....hapa tunazungumzia hip hop halisi,hata isha mashauzi amejenga lakini huwezi kumjumuisha na kalapina au jay mo kama wana hip hop.