Majigambo Ya Nay Wa Mitego!!

Majigambo Ya Nay Wa Mitego!!

jamaa anafanya hip-hop taarabu........ Ni muasisi wa huo upuu.Zi
 
Hivi Chid Benz sijui Suzuki yuko wapi siku hizi au ameshika adabu baada ya kichapo cha Wazee wa kikosi cha Mizinga?

Yupo yupo 2 Ilala akisubiri kwenda kuozea jela, kwa kosa la kumpga demu wake.
 
Wanga tu nyie ndo sty take hiyo mpotezeeni tu.

Hiyo ni staili yake, ila kosa analofanya ni kujiweka katika reli moja na kina Fid Q, Hashim Dogo, Umbwa Lutuno, Jcb, Nash Mc, Kalapina, Jay Mo n.k.
 
haha.. ila huyu jamaa siku hizi kapunguza sana kugawa dozi, nakumbuka mara ya mwisho chidi alikutana na dhahama la huyu jamaa, na ilikuwa mwaka jana akiwa stejini.

Hahaaa mpaka chidi siku hizi amekuwa mpole.
 
HipHop kama sanaa haikatazi majigambo
# sio lazima kila mtu apende unachopenda wewe, ndomana pa1 na yote bado anao mashabiki wake#
 
Endeleeni tu kumponda wakati jamaa kahamia kwenye mjengo wake mpyaaa kwa ayo ayo majigambo anayoyafanya..kikubwa mwacheni tu afanye atakavyo maana na uhuru binafsi ndani ya nchi huru ilimradi asikiuke maadili...oooohw jamaa hajui hiphop hana lolote analoimba wakati anabadili magari tu..shauri yenu!!!
 
Endeleeni tu kumponda wakati jamaa kahamia kwenye mjengo wake mpyaaa kwa ayo ayo majigambo anayoyafanya..kikubwa mwacheni tu afanye atakavyo maana na uhuru binafsi ndani ya nchi huru ilimradi asikiuke maadili...oooohw jamaa hajui hiphop hana lolote analoimba wakati anabadili magari tu..shauri yenu!!!

Nawe unayemsifia umeshaamia kwenye nyumba yako, au bado upo kwa baba na mama? vipi bado unabadili mademu tu au nawe umeanza kubadili magari kama mwanahiphop wako nay?
 
Nawe unayemsifia umeshaamia kwenye nyumba yako, au bado upo kwa baba na mama? vipi bado unabadili mademu tu au nawe umeanza kubadili magari kama mwanahiphop wako nay?[/QUOTE

na wasiwasi na upeo wako wa kufikiri, kama maelezo yote ayo umeona kuna mahali nimemsifia uyo Nay wako hakika milembe panakuhusu.
 
Nawe unayemsifia umeshaamia kwenye nyumba yako, au bado upo kwa baba na mama? vipi bado unabadili mademu tu au nawe umeanza kubadili magari kama mwanahiphop wako nay?[/QUOTE

na wasiwasi na upeo wako wa kufikiri, kama maelezo yote ayo umeona kuna mahali nimemsifia uyo Nay wako hakika milembe panakuhusu.

kwa hili jibu bila shaka bado hujaama kwa mzee! komaa utatoka tu
 
Hiyo ni staili yake, ila kosa analofanya ni kujiweka katika reli moja na kina Fid Q, Hashim Dogo, Umbwa Lutuno, Jcb, Nash Mc, Kalapina, Jay Mo n.k.

angalau dogo kajenga, kalapina jee?
 
angalau dogo kajenga, kalapina jee?

Si kila mwanamziki, anashika mic ili apate maendeleo, some wanafanya for fun, hizo nyumba, magari, vinakuja tu. Mfano ni Kalapina, ndo mana kama unakumbuka enzi hizooo (i doubt kama ulkuwa unafatlia muzik), kalapina alikuwa akiwatandika wote aliokuwa anaona wanaaribu Hip Hop, iwe mwanamziki au mwanahabari wote walikuwa wanakutana na dhahama lake.
 
nilishajiuzuru kusikiliza bongo flava.niko international zaidi,am going crazy with Nas,Fat Joe,Game,Xbit,etc
 
Back
Top Bottom