mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,464
- 6,011
Na fedha za Lowasa atalipaje?"Mwanzo walipotufukuza walituambia tukatafute vyama vingine hilo likafanyika, tulipopata vyama vya kufanyia siasa wakasema vipo kwa ajili ya kugawa upinzani, tukasema tupo tayari kuunganisha Nguvu ya pamoja kwa ajili kuiondoa CCM wenzetu pia hili hawalitaki sasa ni wajibu wenu kutambua watu gani hawataki kuiondoa CCM.
Wananchi watambue tuna nia ya dhati lakini wenzetu wanaweka ugonvi binafsi mbele ya maslahi ya Taifa. Sisi ACT wazalendo bado tupo taayari kushirikiana kwa mujibu wa misingi. Shabaha yetu ni moja tu kubomoa mfumo wa uchumi wa kinyonyaji na kifisadi ili kujenga uchumi shirikishi wa wananchi"
By Zitto kabwe kupitia Twiter
Na hao CCM wanaomundalia mikutano na fedha watalipwaje? ZZK ni msaliti mbaya bilblia inatamka wazi kuwa saizi yake ni "kufungwa jiwe kubwa ili atumbukizwe baharini asiibuke tena!! time will tell wait----------