MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Haya mambo yangefanyika miaka ileee, ingebaki kuwa siri, lakini kwa sasa no no no, huwezi kufanya siri katika ulimwengu wa sasa.
Kuna haja ya CDM kuwa na TISS yake sasa ili kujihami na hawa wauwaji kutoka TISS ya CCM.
Hatuwezi kuendelea kufa/kuteswa kikondooo namna hii. kila mtu kwa nafsi yake achukue hatua, mbona vibaka twawachoma moto hadharani itakuwa hawa wajinga tunakunywa nao Bar kila kukicha?
Huna uzalendo hata kidogo unataka kuipeleka nchi yetu kusiko