Rugas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 1,048
- 196
Kasheshe,
..hizo ni propaganda za CCM tu.
...lakini mbona Nape,Sitta,Mwakyembe,na Kilango, wameandamana kule Mbeya na kwingineko?
..mbona wao hawaulizwi kama wanafanya military operations?
..hivi mmeona wapi operation za kijeshi zikafanyika mchana peupe?
NB:
..nawashauri CDM watembee na vitambaa vyeupe kwenye maandamano yao ili kuondoa dhana yoyote ile ya uvunjifu wa amani.
Vitambaa vyeupe havisaidii.mbona maandamano ya arusha walikuwa navyo lakini havikusaidia! Kabisa! 0 0