zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,829
- 8,619
Serikali haijibu vichochoroni, tumia njia sahihi utayapata majibu.
njia sahihi ni ipi?
Serikali haijibu vichochoroni, tumia njia sahihi utayapata majibu.
Funga mkanda , kaza buti nenda pale kwa mkuu wa kaya na piga hodi rasmi ukaulize maswali yako.njia sahihi ni ipi?
Kama Katibu Mkuu wa magwanda, inabidi awe na busara zaidi yenu, capacity ya mtu hujulikana katika maswali kama hayo ambayo nyinyi mnayaona yanawatatiza, hivi, hawa viongozi wanawaongoza watu wa aina fulani tu katika tabaka za jamii?
Na kama hatoyajibu ntajuwa kuwa na yeye "capacity" yake si ya uongozi wa Taifa, msishabikie maswali sio yenu, as Katibu Mkuu anatakiwa awe makini na sio mwenye papara kama nyie. Kaeni kimya mumuwache Slaa ajibu au akatae, msimsemee tafadhali.
njia sahihi ni ipi?
Seal6 tamko lilitolewa na tumeliona sote. Hili jambo ni zito zaidi ya tamko na lina kitu kinaitwa political ramification. Maswali niliyomuliza Dr Salaa hakuna hata moja lililohusu tamko kama umeyarejea kwa uangalifu.Nguluvi kwa taarifa yako, CDM tayari walishatolea tamko kuhusu muafaka wa Arusha kwamba- NI MUAFAKA BATILI- taratibu zinafuatwa kuchukuliwa kulingana na Katiba /ilani ya chadema.
Serikali haijibu vichochoroni, tumia njia sahihi utayapata majibu.
Nakufagilia mkuu Nguruvi3 kwa uwezo wako wa kuchambua maswali ili yapate majibu yaliyo sahihi.Seal6 tamko lilitolewa na tumeliona sote. Hili jambo ni zito zaidi ya tamko na lina kitu kinaitwa political ramification. Maswali niliyomuliza Dr Salaa hakuna hata moja lililohusu tamko kama umeyarejea kwa uangalifu.
Kuna mambo mawili yanayojitokeza kwenye suala ili.
1. Muafaka:
Na hapo nimeuliza ulifikiwa katika mazingira gani ambayo yanaleta utata kati ya uongozi taifa, madiwani, mbunge na wanachama.
Je uongozi ulifahamu muafaka na ilikuwaje jambo hili lenye sura kubwa hadi kuvuka mipaka liachiwe mamlaka kama ya udiwani?
Je, chama katika ngazi ya wilaya na mkoa vilihusishwa na kwanini hakuna hatua dhidi yao. Je uongozi katika ngazi hizo upo na unawajibika?
Je, lengo la kuhamisaisha upingaji matokeo nchi nzima lilifikiwa? endapo maana nzima ilikuwa kugawana vyeo vya umeya na unaibu?
Yatokanayo na muafaka.
a)Kwanini taarifa hazikutolewa na Chadema na badala yake CCM wakatangaza. Na ilikuwaje uongozi wa taifa ukachukua zaidi ya wiki mbili tena katika shinikizo la vyombo vya habari na blogs na kutoa msimamo wa jambo hili.
b)Kwavile uongozi wa taifa ulijua jambo hili kamati ya mabere Marando ilienda kuchunguza nini na kwanini mkoa au wilaya hazikuhusishwa?
c)Kama chama kitaifa kinatofautiana na msimamo wa madiwani, je uongozi ni principles au personalities
d)Katika hali ya mkanganyiko kama huu tutarajie nini kuhusu uungwajwi wa misimamo ya Chadema siku zijazo?
e)Nini mapungufu yaliyoleta hali hii ya sintofahamu.
Nimelazimika kuyarejea na kufafanua maswali hayo ili nieleweke. Kama tamko peke yake linaweza kujibu maswali hayo basi nashukuru, vinginevyo suala hili litaleta sintofahamu katika wakati usiotakiwa na uisotarajiwa.
Seal, medani ya kisiasa inataka jambo liangaliwe kwa mtazamo mpana wenye suluhu ya kudumu na si kauli moja au mbili.
Kwa kuangalia haraka tu washiriki wa muafaka wamelitumia kama silaha dhidi ya misimamo ya Chadema na kukionyesha kama chama cha vurugu na kisichojua kinasimamia nini.
Kwa upande mwingine wanachama,wapenzi na mashabiki wametunduwaa kwa kutojua endapo suala lilikuwa kutafuta nafasi ya uongozi wa mtu mmoja au wawili. Zaidi ya hapo Chadema itawezaje kusimama kama chama kama hakina mizizi ya kuaminika katika wilaya na mkoa.
Na je taratibu za nidhamu zinazingatia mgawanyo wa madaraka.
Hayo ni mawazo yangu huru binafsi na yana lengo zuri tu la kuimarisha demokrasia na ustawi wa siasa katika taifa. Hayalengi kutoa uetetezi au kubana chama chochote zaidi ya kujenga na kuimarisha. Siasa inahitaji fikra pevu na si kauli moja au mbili watu wanazopenda kuzisikia.
Nakufagilia mkuu Nguruvi3 kwa uwezo wako wa kuchambua maswali ili yapate majibu yaliyo sahihi.
Lakini kwa mambo yalivyo sioni kama majibu yatapatikana hapa ukizingatia kuwa CDM bado ni chama kichanga sana, tena sana. Na hii misuko suko itabainisha uchanga huo.
People are expecting too much from CDM, I am afraid it will not deliver as expected.
Hata hivyo this is what great thinking is all about.
mkuu samahani, naomba unieleweshe kidogo, uchanga wa chama unapimwa kwa vigezo gani? umri? au idadi ya wanachama? au kitu gani ili chama kiitwe kichanga hadi kushindwa kutoa majibu.
kutokana na jinsi ulivyo'comments unamaanisha CCM ni chama kikongwe, mbona hawajitokezi walau kujibu maswali ya msingi kwa wananchi? au na CCM ni chama kichanga?