vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,698
- 1,395
nimeicopy kutoka sehemu......
TUME YA MH. PINDA INATIA WASIWASI Jana Mwenyekiti wa Tume hiyo, Profesa
Sifuni Mchome alidokeza baadhi ya
sababu zilizotolewa kwa wingi na wadau
wa elimu waliihojiwa mpaka sasa. Sababu hizo ni ukosefu wa walimu,
upungufu wa vitabu na mazingira duni ya
kujifunzia. Mwanzo huu sio mzuri hata
kidogo. Hizo sababu zinajulikana siku
zote, walimu wote wanazijua, na wizara
inazitambua. Istoshe hizo ni baadhi ya sababu zinazoathiri ufundishaji na
ujifunzaji shuleni. Je, hizo ndizo sababu
kuu za wanafunzi kufeli kwa wingi kiasi
hiki? Wakiendelea hivi; watajikuta wanarudia
yale yale ambayo walishaambiwa miaka
nenda-miaka rudi na kukataa, ama
kupuuza. Hivyo ni muhimu kwa Tume
hiyo kuja na maelezo ya kina na
uchambuzi utakaosaidia Taifa hili. Sababu hizo walizoanza kuzitaja,
zinapatikana kwenye kitabu cha takwimu
za elimu (BEST)-wala haikuwepo haja ya
kwenda kuziuliza kwa wananchi na
wadau wa elimu. Ni heri waendelee
kuchambua-ili wadau waje wapate ripoti kamili kuliko kuanza kutoa hizi taarifa
zisizojitosheleza.
TUME YA MH. PINDA INATIA WASIWASI Jana Mwenyekiti wa Tume hiyo, Profesa
Sifuni Mchome alidokeza baadhi ya
sababu zilizotolewa kwa wingi na wadau
wa elimu waliihojiwa mpaka sasa. Sababu hizo ni ukosefu wa walimu,
upungufu wa vitabu na mazingira duni ya
kujifunzia. Mwanzo huu sio mzuri hata
kidogo. Hizo sababu zinajulikana siku
zote, walimu wote wanazijua, na wizara
inazitambua. Istoshe hizo ni baadhi ya sababu zinazoathiri ufundishaji na
ujifunzaji shuleni. Je, hizo ndizo sababu
kuu za wanafunzi kufeli kwa wingi kiasi
hiki? Wakiendelea hivi; watajikuta wanarudia
yale yale ambayo walishaambiwa miaka
nenda-miaka rudi na kukataa, ama
kupuuza. Hivyo ni muhimu kwa Tume
hiyo kuja na maelezo ya kina na
uchambuzi utakaosaidia Taifa hili. Sababu hizo walizoanza kuzitaja,
zinapatikana kwenye kitabu cha takwimu
za elimu (BEST)-wala haikuwepo haja ya
kwenda kuziuliza kwa wananchi na
wadau wa elimu. Ni heri waendelee
kuchambua-ili wadau waje wapate ripoti kamili kuliko kuanza kutoa hizi taarifa
zisizojitosheleza.