MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
- Thread starter
- #21
Una Akili sana Ndugu. Nimekukubali pia.Ahahaahhahaah duh ila watu. Viumbe wa Mungu hawa anawaweza yeye tu.
Una Akili sana Ndugu. Nimekukubali pia.Ahahaahhahaah duh ila watu. Viumbe wa Mungu hawa anawaweza yeye tu.
Ni mtoa taarifa hapo,anaitwa hivyoAll - rounder maana yake nini?
Jack of all trades / Generalist Ndugu.All - rounder maana yake nini?
Alikuwa Nazem Hospitali Victoria, ila kwa sasa tupo njiani kwenda nae Nyumbani Kijijini Tocha kwa Matibabu Mchanganyiko zaidi ya Kisayansi na Kiutamaduni pia.Mpwa wako kwaiyo iyohospital ipo wapi
Kwa kuwaambieni Mpwa wangu anaugua na mnisaidie maana ya hayo maneno mawili ya Kitabibu ni Kosa?acheni ujinga jamani hakuna mtu asiye na akili ya kujua unamaanisha nini
Moyo wake unatokatoka ( unahamahama ) sana katika njia yake ila kuna Mzungu Mmoja kasema atatusaidia atupe Ufadhili wa Kumpeleka nchini Ujerumani ambako ndiko wana Ujuzi wa Juu wa Matibabu ya Moyo.Stable but in Critical condition alimaanishaa mgonjwa hali yake imehimarika lakini sio ya Uhakika means muda wowote unaweza kubadilika. Mliambiwa anaugua nini mpaka now anaweza Kupiga simu but hatakiwi kufanya interaction yoyote??? Kama alipata mshtuko then stroke means Dr anaogopa akipata tena mshtuko inaweza kuwa for Good.
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Duuh poleni sanaa...!! Tatizo kubwa sana hiloMoyo wake unatokatoka ( unahamahama ) sana katika njia yake ila kuna Mzungu Mmoja kasema atatusaidia atupe Ufadhili wa Kumpeleka nchini Ujerumani ambako ndiko wana Ujuzi wa Juu wa Matibabu ya Moyo.
Hajawahi kwenda sijui huko Kenya wala India, ila alikuwa Dodoma kwa Shangazi, tukamleta hapa Dar es Salaam kwa Mjomba na sasa yupo Kijijini Kwetu Lake Zone.Huyo mpwa wako yuko wapi,kenya? India? Au bongo?style yako ya uandishi ni kiboko.
Nakubaliana nawe kwa taarifa.....Ila sasa kama uchawi wa kizungu umeshindikana huo wa kijijini ah.....Mpwa akiondoka nina wasiwasi sie marafiki zako na wale mabeberu itatubidi tuje kufanyia ibada kijijini kwenu ....All - Rounder....... I hope patatosha.Alikuwa Nazem Hospitali Victoria, ila kwa sasa tupo njiani kwenda nae Nyumbani Kijijini Tocha kwa Matibabu Mchanganyiko zaidi ya Kisayansi na Kiutamaduni pia.
Tumeshapoa Ndugu.
Ondoa ujinga wwWatz baadhi yenu kuna mahali mna shida.
Nyie mnafaa mpate corrupt leaders,na maendeleo msifanyiwe.
Kila mtu aachwe aibe atakavyo muendelee kuwa kijiji.
Watu design ya magufuli si size yenu,ilifaa aongoze U.S. huko.
Hamna hata shukrani.
Hii Lulu mlipewa hamtawahi ipata tena as ni watu wachache kama yeye.
Time is the best teacher,mtakuwa kama Libya itakua too late.
Ooh sawa. Ujue wakati nasoma sikutambua Kama all-rounder ni ID yako. Basi nimepata shida kuunganisha na maelezo yakoJack of all trades / Generalist Ndugu.
Ni nini inakufanya ufikiri mi ni mjinga na sio wewe,njoo na argument za maana,kutusi watu pia ni ujinga.Ondoa ujinga ww
weweeeeeeeee nenda kafanye kazi hembu ondoa ujinga wako hapa kwanza kwenye hii mada katajwa magu ondoa ujuwaji et ila faa aongoze us ip labda ya kwa mtogoleWatz baadhi yenu kuna mahali mna shida.
Nyie mnafaa mpate corrupt leaders,na maendeleo msifanyiwe.
Kila mtu aachwe aibe atakavyo muendelee kuwa kijiji.
Watu design ya magufuli si size yenu,ilifaa aongoze U.S. huko.
Hamna hata shukrani.
Hii Lulu mlipewa hamtawahi ipata tena as ni watu wachache kama yeye.
Time is the best teacher,mtakuwa kama Libya itakua too late.
Hii laana na ishindwe tunaifutilia mbali.Watz baadhi yenu kuna mahali mna shida.
Nyie mnafaa mpate corrupt leaders,na maendeleo msifanyiwe.
Kila mtu aachwe aibe atakavyo muendelee kuwa kijiji.
Watu design ya magufuli si size yenu,ilifaa aongoze U.S. huko.
Hamna hata shukrani.
Hii Lulu mlipewa hamtawahi ipata tena as ni watu wachache kama yeye.
Time is the best teacher,mtakuwa kama Libya itakua too late.
Nauguliwa na Mpwa wangu nashangaa unanitajia Mtu mwingine ambaye bahati mbaya hata haugui ( haumwi ) kwa mujibu wake Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Makamu wa Rais Samia Hassan. Acheni Viherehere na Kuwashwawashwa tafadhali.Watz baadhi yenu kuna mahali mna shida.
Nyie mnafaa mpate corrupt leaders,na maendeleo msifanyiwe.
Kila mtu aachwe aibe atakavyo muendelee kuwa kijiji.
Watu design ya magufuli si size yenu,ilifaa aongoze U.S. huko.
Hamna hata shukrani.
Hii Lulu mlipewa hamtawahi ipata tena as ni watu wachache kama yeye.
Time is the best teacher,mtakuwa kama Libya itakua too late.
Kwa hiyo mnaenda kujaribu kwa wataalamu?Hajawahi kwenda sijui huko Kenya wala India, ila alikuwa Dodoma kwa Shangazi, tukamleta hapa Dar es Salaam kwa Mjomba na sasa yupo Kijijini Kwetu Lake Zone.
Wewe unado nini hapa?weweeeeeeeee nenda kafanye kazi hembu ondoa ujinga wako hapa kwanza kwenye hii mada katajwa magu ondoa ujuwaji et ila faa aongoze us ip labda ya kwa mtogole
Unaweza kuweka Ushahidi usio na chembe ya Shaka kuwa huu Uzi unamuhusu huyu ( huyo ) Mtu wenu na siyo Mpwa wangu? Kuna Watu mnanitafuta endeleeni tu mtanipata very soon Wapuuzi wakubwa nyie.Hii laana na ishindwe tunaifutilia mbali.
Rais Magu wetu ni tunu na atabakia kuwa tunu kwa tafsiri yake.