MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,733
Alilazwa Wiki Mbili zilizopita All - Rounder nikaambiwa kuwa Mpwa wangu HE IS IN COMA hivyo nitulie tu Wahangaike nae waweze kuona kama wataokoa Maisha yake japo Daktari Mmoja aliniuma Sikio na kuniambia nijiandae Kisaikolojia kwa lolote lile.
Leo muda mfupi tu nimetoka Kumtizama Mpwa wangu huyo na All - Rounder nimeambiwa kuwa HE IS STABLE BUT IN CRITICAL CONDITION hivyo nimeshindwa kabisa Kuyaelewa Kitabibu haya maneno mawili.
Na nakumbuka hata wakati nawaaga Matabibu kuna Mmoja akaja Kunisisitiza kuwa hata ikitokea Mpwa wangu akarejea katika hali yake ya kawaida sitakiwi Kumuongelesha sana, hatakiwi Kuongea mno, hapaswi kuonana hovyo na Watu.
Lakini pia atahitaji angalau mwaka Mmoja au hata Miwili ili aweze Kujitambua hasa hivyo nikiweza niende tu Ofisini Kwake nikawaambie kuwa hawezi kufanya Kazi na kama huko Ofisini alikokuwa Boss kuna Kaimu (Naibu) wake basi ashike tu Hatamu ili Utendaji wa Ofisi uendelee na Ufanisi upatikanaji.
Kifupi nimechanganyikiwa ndiyo maana nimeona niwashirikishe nanyi mnielimishe zaidi japo kuna Mpwa wangu mwingine alienda Kumsabahi mchana huu kaniambia kuwa Mpwa aliweza Kuamka na hata Kuomba Simu atume Salamu Kwetu ila nimemkatalia kwani kwa hali aliyonayo Mpwa wangu si wa Kuongea au hata Kupiga Simu au Kutuma Meseji.
Leo muda mfupi tu nimetoka Kumtizama Mpwa wangu huyo na All - Rounder nimeambiwa kuwa HE IS STABLE BUT IN CRITICAL CONDITION hivyo nimeshindwa kabisa Kuyaelewa Kitabibu haya maneno mawili.
Na nakumbuka hata wakati nawaaga Matabibu kuna Mmoja akaja Kunisisitiza kuwa hata ikitokea Mpwa wangu akarejea katika hali yake ya kawaida sitakiwi Kumuongelesha sana, hatakiwi Kuongea mno, hapaswi kuonana hovyo na Watu.
Lakini pia atahitaji angalau mwaka Mmoja au hata Miwili ili aweze Kujitambua hasa hivyo nikiweza niende tu Ofisini Kwake nikawaambie kuwa hawezi kufanya Kazi na kama huko Ofisini alikokuwa Boss kuna Kaimu (Naibu) wake basi ashike tu Hatamu ili Utendaji wa Ofisi uendelee na Ufanisi upatikanaji.
Kifupi nimechanganyikiwa ndiyo maana nimeona niwashirikishe nanyi mnielimishe zaidi japo kuna Mpwa wangu mwingine alienda Kumsabahi mchana huu kaniambia kuwa Mpwa aliweza Kuamka na hata Kuomba Simu atume Salamu Kwetu ila nimemkatalia kwani kwa hali aliyonayo Mpwa wangu si wa Kuongea au hata Kupiga Simu au Kutuma Meseji.