Jaguar JF-Expert Member Joined Mar 6, 2011 Posts 3,440 Reaction score 1,029 Sep 22, 2011 #1 Daladala la ubungo-mbagala lilipofika buguruni. (KONDA);Oya oya mbagala vp mnaenda? (ABIRIA);Tukafanye nini? SWALI;Ungekuwa wewe ndo konda wa hiyo daladala,ungewajibu nini hao raia?
Daladala la ubungo-mbagala lilipofika buguruni. (KONDA);Oya oya mbagala vp mnaenda? (ABIRIA);Tukafanye nini? SWALI;Ungekuwa wewe ndo konda wa hiyo daladala,ungewajibu nini hao raia?
TANMO Platinum Member Joined Apr 12, 2008 Posts 12,085 Reaction score 12,685 Sep 22, 2011 #2 Hao watakuwa na stress zao..
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,866 Reaction score 24,980 Sep 22, 2011 #5 tuende mbagala ili iweje sasa?