1.Jeshi la polisi.
2.Kulingana na maelezo ya waziri wa sheria marekani juzi ndio uchunguzi unafanyika na unaendelea, hawajashindwa.
Swali. Lissu na cdm walitaka uchukue muda gani? Je wanadhani ni busara kwa kuwa wao wanataka isemwe ni rais ni busara jeshi la polisi pia liseme hivyo bila ushahidi ili walizike?
3.Maendeleo ya uchunguzi hawatangazwi redioni uchungizi si ujenzi wa daraja hilo halina ubishi,
4.Reff. No 3 above.
5.mkuu wa serikali ni Rais lkn hana mamlaka ya kumtia mtu hatiani au kulazimisha uchunguzi ili kumfurahisha mtu yeyote anaweza kuhimiza tu uchunguzi wa haraka lkn hawezi kuamua uishe lini?
6.Jpm
7. Shuku ya Lissu haijasemwa polisi, sababu lissu bado hajahojiwa na polisi toka ashambuliwe jeshi litaijua baada ya kumhoji, hata hivyo shuku ni hatua muhimu tu ya uchunguzi lkn si ushahidi tosha au haitimilishi uchunguzi kwamba nikishambuliwa nikakushuku kwa kuwa tu tunagombea mke au shamba basi moja kwa moja nitakuwa mimi si kweli japo ni vyema uchunguzi ukaanza na mimi.
8.reff no 7 above mpaka atakapo hojiwa ndio jeshi la polisi litawajua.
9.Tunaamini kwenye ushahidi wa kuona kuliko wa kusikia dereva na Lissu ndio watu pekee walioliona tukio na si kuona tu walihusika kwa 100% kumtoa kwenye mjadara ni uchuro usioelezeka. Hakuna namna utaongelea shambulio la Lissu bila kumuongelea dereva sijui utaongelea nini? Kufuatiliwa lazima ahusike, kushambuliwa lazima ahusike, kuokoa maisha ya Lissu lazima ahusike, kutoa taarifa lazima ahusike, sasa unamuondoaje kwenye mjadara? Labda uwe mwehu.
10.Tulifanya nini kibiti? Stakishari? Lugalo aliposhambuliwa afisa jeshi? Mwangosi? n.k Lissu ni sehemu ya watanzania mwenye haki sawa na wewe, mimi na yule. Tunataka haki itendeke na si itendeke tu ionekane kutendeka.
Maelezo yako yanaonesha we ni mshirika wa genge la wasiojulikani chini ya kichaa jiwe mkuu and you seem worried that someone is already baying for your blood. Be assured that in due time people of Tanzania will know what exactly happened during
38 bullets and will avenge appropriately. Kimsingi lengo la uzi huu ni kuainisha maeneo muhimu ya kupewa kipaumbele ktk mjadala juu ya Lissu mwaka moja baada ya risasi 38. Kwa hiyo sikuwa natafuta majibu bali kuwasaidia kufikiri wale ambao genge lenu limepewa kazi ya kuwapotosha. Na uzuri ni kwamba umeweka wazi kuwa upo kazini japo ktk comment hii hujawalenga wateja wako wa siku zote ila umewalenga wale wenye IQ kubwa km ya Lissu na kwa kuwa IQ yako ni level 1 na aliyekupa kazi au mkuu wa genge lenu, km kawaida ya
inferior and low iq people njia rahisi kwao ni vitisho uchwara uchwara km hizi zako. Na ili kujiridhisha na haya ninayosema just review your responses n you will realize that you do not properly a functioning brain.
1. Umesema polisi, jiongeze kidogo kuwa mkuu wa polisi na waziri husika ni wateule wa raisi na wanatekeleza sera ya raisi aliyepo and the backstop with president, yaani ikiwa polisi haifanyi kazi yake vizuri anayewajibika ni raisi ndo maana amepewa mamlaka ya kumweka au kumtoa mtu yoyote anapoona inafaa saa yoyote km alivyofanya kwa yule wa pccb. Mantiki ni kuwa kwa katiba yetu ya Tz polisi wanawajibika kwa raisi na raisi anawajibika kwa umma. So muda ukifika umma utamuuliza raisi nini kinaendelea kuhusu wote waliouawa, waliojeruhiwa, waliotekwa na waliopotea.
2. Hapa nitakusaidia hivi, nenda kajifunze tofauti kati ya waziri wa sheria na yule anayehusika na issue ya Lissu na alisema nini juzi kati alipoteuliwa.
3. What are your sources of rules kwamba uchunguzi hautangazwi, by the way umesema aliyesema uchunguzi unaendelea ni waziri wa katiba ila hujui waziri muhusika amesemaje. For own good refer #2 above.
4.Umejibu refer #3 kwa mantiki kwamba uchunguzi upo na unaendelee. Ushauri wngu, jua kutofautisha kazi za mawaziri
5. Refer# 1 and other references kuhusu uhusiano kati raisi na polisi, itakusaidie.
6. Ok sawa, sasa ni mwaka moja umepita toka risasi 38 zilipoelekezwa kwa Lissu. Kwa maelezo yako yakupotosha au kutokujua unadhani yeye hana chakufanya na pengine hata siyo kazi yake, once agai rudia #1 above itakusaidia
7. Kwani nani amesema Lissu anawashukia polisi?
8. Lissu ameandika extensively kuhusu anamshuku nani na nani walihusika na kupigwa kwake risasi 38, so do some references
9. Rubbish full of nonsense response that was never requested. The process of criminal justice has many steps btn investigation and punishment/rehabilitation, sasa wewe na uchunguzi wako wa waziri sheria na katiba mko hatua ipi? By the way, lugha gongana
mjadara=mjadala. In short, uchunguzi ni ukusanyaji wa taarifa ili kubaini wahalifu. Naelewa una tatizo la iq ambayo genetic work is to be blamed and not you. Logic ya #9 imetoka juu kwamba je kuna washukiwa? With police no suspect so far but with the victim (Lissu) there are many suspects na huyu dreva wake siyo mojawapo kati ya wale anaowashukia. Sasa jiongeze kidogo nani anamshukia dreva? Ukishindwa kujiongeza ni kwamba hakuna anayemshukia dreva, siyo polisi, lissu, chadema wala wananchi. Simply it's a stupid propaganda for only zombified people.
10. Sasa hapa umesema nini? mara kibiti, shari, afisa jeshi, Mwangosi, Lissu, watanzania, haki. Can't help with this level of ignorance and intellectual disability.